Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Kuna mabadiliko ya tabia mtu siku hizi..naendelea kuona na kushuhudia kiungo Ulimi kimegeuka kiungo ubongo..kufikili kwa mtoa mada ni mabadiliko ya tabia Mtu!!ubongo umeltwa mdomoni na Ulimi umepelekwa kichwani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichofanywa kwa uwepo wa Maalim Seif, Mbatia na wito wa Zitto kuichangia Chadema ni kitu kizuri, kuonyesha political solidarity, it's only through together ndio we can!.
P
Not we can, they can! Watanzania tunaamini viongozi wa upinzani ndiyo jukumu lao kuleta haki Tanzania, sisi halituhusu ni watazamaji! Umasikini wa elimu na umasikini wa fikra.
 
Tumchague kwa sifa za knowledge tusiyoijua, kwa kuwa mwanasiasa mahili kwenye tusilolijua, anajua kiingereza mabach hatujawahi kukisikia, kwa kuwa anamzidi Ndalichako....n.k. Hayo hayatoshi boss!

Kuna udhaifu mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Wanapambana na CCM wakati huo pia wanahangika kuzuia vyama vingine vya upinzani visipate umaarufu. That is fallacy!
 
Etwege, Wewe acha upumbavu. Usijivue nguo Kwa kutoa kauli za kijinga na kipumbavu.
Kama huna lakuongea, kaa kimya. Silazima uchangie hapa.

Maisha tuliyonayo duniani ni mafupi sana. Hapo ulioo ushaishi muda merufu kuliko uliobakiza, huijui Kesho yako. Acha kumtukana mbowe hajakufanyia ubaya. Hai waliomwandalia kesi ya kupikwa huwaoni? Unatukuza kama malaka. Unamshambulia mtu asiye na hatia kwa chuki za kisiasa.

Mwogopeni Mungu. Mungu Hali, atalipiza kisasi hata kizazi cha nne. Usichume laaana kwa familia yako Kwa kutafuta cheap popularity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…