karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Mnyika Mungu akupe wepesi Yohana!
Mbowe, heche, hao hawatatoka anaeweza kupata nafuu ni salum mwalim kwa mujibu wa clip ya kinondoni.Hiyo mvua itasaidia nini bwashee?!!!
Ha ha ha ! Leo wanalowekewa mbichiWatu wameshapagawa!
Hata kama ni chuki mkuu,punguza aina ya maneno ya kuyatumia dhidi ya kiongozi mkuu wa nchi. Ni rais wetu,ni baba,babu. Achana na lugha zisizofaa hata kwa mtu usiyempenda. Kumbuka wote sisi ni binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ujinga ni mzigo. Kujivua uanachama kuna uhusiano gani na kesi? Hata angebadilisja jinsia akawa mwanamke bado kesi ingemhusu. Pale ni watu wameshtakiwa siyo status zao.Watahukumiwa wanachama wa Chadema, Mashinji alishajivua uanachama hivyo hukumu haimhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
umepata hukumu?Mashinji naye anaenda ndani!
Natumai hata ile ya KUWATIA HATIANI VIONGOZI WA CHADEMA nayo itahesabiwa kama haki.Mungu asimamie haki itendeke!
Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Usidhani uko salama ,shetani hajawahi kuwa na rafikiHa ha ha ! Leo wanalowekewa mbichi
Mungu asimamie haki itendeke!
Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Yaani neno lenyewe moja alafu unachamba? Unakimbilia wapi?Itaharishwa
Kuku na dua kwake mweweKesi za kubambikiza aliyeua yupo salama kabisa,mbele ya macho ya binadamu walobambikiza kesi wanafaraja lakini ktk hali ya kweli na kiimani watapata majuto na nafsi kutokuwa na amani.mbegu ya mabadiliko itaendelea kumea.
Mashinji hata kama atafungwa lakini hatoishi gerezaniItakumbukwa kuwa leo ndio leo. Je, kurudi CCM itampa nafuu Katibu Mkuu wa Zamani wa CADEMA katika hukumu inayotarajiwa kusomwa punde? Tusubiri maana muda ni mwalimu mzuri.
NB: Kuna mdau mmoja kanitonya kuwa hukumu hiyo leo inaweza kuahirishwa kwa sababu za kimkakati.