Mahakama ya Mafisadi imekufa kifo cha kawaida?

Mahakama ya Mafisadi imekufa kifo cha kawaida?

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Itifaki imezingatiwa!

Kwanza hongera mkulu wa nchi kwa kuyashughulikia haya majizi ya nchi hii, yenyewe ndiyo yanalizamisha taifa hili kiuchumi, "hongera"

Jana ilishuhudiwa mapapa ya "Escrow" yakipandishwa kizimbani "Rugemalila" na "Sethi", ilikuwa ni mahakama ya hakimu mkazi "Kisutu" kama ilivyozoeleka kwa kesi kubwa na nzito husikilizwa hapo


Sasa nimejiuliza bila ya majawabu, kwa taarifa tu za awali iliwahi ripotiwa kwamba mahakama ya mafisadi "wahujumu" uchumi imeundwa na teyari ipo inasubili kesi, lakini ilionekana ikikosa kesi za kushughulikia, je hushughulika na kesi za kifisadi za namna gani kama sio hizi za akina Rugemalila ?

ESCRO ni ufisadi, na ilitegemewa sasa ile mahakama inasemekana ilianzishwa na rais iwe inahusika na kesi hizi kwa ufanisi zaidi

lakini kesi hii imepelekwa kisutu, Mahakama ya mafisadi iko wapi?
na inajishughulisha na kesi za aina gani
 
Itifaki imezingatiwa!

Kwanza hongera mkulu wa nchi kwa kuyashughulikia haya majizi ya nchi hii, yenyewe ndiyo yanalizamisha taifa hili kiuchumi, "hongera"

Jana ilishuhudiwa mapapa ya "Escrow" yakipandishwa kizimbani "Rugemalila" na "Sethi", ilikuwa ni mahakama ya hakimu mkazi "Kisutu" kama ilivyozoeleka kwa kesi kubwa na nzito husikilizwa hapo


Sasa nimejiuliza bila ya majawabu, kwa taarifa tu za awali iliwahi ripotiwa kwamba mahakama ya mafisadi "wahujumu" uchumi imeundwa na teyari ipo inasubili kesi, lakini ilionekana ikikosa kesi za kushughulikia, je hushughulika na kesi za kifisadi za namna gani kama sio hizi za akina Rugemalila ?

ESCRO ni ufisadi, na ilitegemewa sasa ile mahakama inasemekana ilianzishwa na rais iwe inahusika na kesi hizi kwa ufanisi zaidi

lakini kesi hii imepelekwa kisutu, Mahakama ya mafisadi iko wapi?
na inajishughulisha na kesi za aina gani
Labda wanasubiri bunge lipitishe bajeti
 
Sheria inamapungufu kadhaa Mahakama ilianzishwa kisiasa sana hivyo inahitajika maboresho kidogo ya hiyo sheria ndy Mahakama ianze kazi.

Hivyo soon sheria itakapofanyiwa maboresho itaanza kazi hata hawa kina Rugemalila watapelekwa tu huko.
 
Itifaki imezingatiwa!

Kwanza hongera mkulu wa nchi kwa kuyashughulikia haya majizi ya nchi hii, yenyewe ndiyo yanalizamisha taifa hili kiuchumi, "hongera"

Jana ilishuhudiwa mapapa ya "Escrow" yakipandishwa kizimbani "Rugemalila" na "Sethi", ilikuwa ni mahakama ya hakimu mkazi "Kisutu" kama ilivyozoeleka kwa kesi kubwa na nzito husikilizwa hapo


Sasa nimejiuliza bila ya majawabu, kwa taarifa tu za awali iliwahi ripotiwa kwamba mahakama ya mafisadi "wahujumu" uchumi imeundwa na teyari ipo inasubili kesi, lakini ilionekana ikikosa kesi za kushughulikia, je hushughulika na kesi za kifisadi za namna gani kama sio hizi za akina Rugemalila ?

ESCRO ni ufisadi, na ilitegemewa sasa ile mahakama inasemekana ilianzishwa na rais iwe inahusika na kesi hizi kwa ufanisi zaidi

lakini kesi hii imepelekwa kisutu, Mahakama ya mafisadi iko wapi?
na inajishughulisha na kesi za aina gani
Jamani labda tuu kwanza nikiri kila binadamu anauelewa wake. Mimi kwakifupi na akili zangu fupi hakuna mtetezi wawa nyonge wala mfia taifa kama mnavyo aminishwa.
Na wa tz hamuwezi ipata haki au usawa ndani ya ccm. Endeleeni kuamini eti kuna kambare yeye hana sharubu.
 
Wakuu, Naomba kueleweshwa kuhusu jambo hili; Tulianzisha mahakama za wahujumu uchumi ili kesi ziharakishwe lakini sasa ni kwa sababu gani kesi hizo za wahujumu uchumi na mafisadi zinapelekwa mahakama zetu za MIKOA na Mahakama kuu kuna matatizo gani?

Povu pia ruksa
 
Wamemkosa Lowassa.

Mahakama imekufa kifo cha mende.
 
Itifaki imezingatiwa!

Kwanza hongera mkulu wa nchi kwa kuyashughulikia haya majizi ya nchi hii, yenyewe ndiyo yanalizamisha taifa hili kiuchumi, "hongera"

Jana ilishuhudiwa mapapa ya "Escrow" yakipandishwa kizimbani "Rugemalila" na "Sethi", ilikuwa ni mahakama ya hakimu mkazi "Kisutu" kama ilivyozoeleka kwa kesi kubwa na nzito husikilizwa hapo


Sasa nimejiuliza bila ya majawabu, kwa taarifa tu za awali iliwahi ripotiwa kwamba mahakama ya mafisadi "wahujumu" uchumi imeundwa na teyari ipo inasubili kesi, lakini ilionekana ikikosa kesi za kushughulikia, je hushughulika na kesi za kifisadi za namna gani kama sio hizi za akina Rugemalila ?

ESCRO ni ufisadi, na ilitegemewa sasa ile mahakama inasemekana ilianzishwa na rais iwe inahusika na kesi hizi kwa ufanisi zaidi

lakini kesi hii imepelekwa kisutu, Mahakama ya mafisadi iko wapi?
na inajishughulisha na kesi za aina gani
Mkuu mahakama ya mafisadi imekufa natural death...... OVA
 
Hii ilikua kampeni tu dhidi ya lowasa

hadi sasa Lowasa sio fisadi kama wanavyobwabwaja huko bila ishahidi na kumpeleka mahaman
 
Hakuna ufisadi bila ushiriki wa watumishi wa uma kwa namna moja ama nyingine. Kusuasua kwa kesi zinazohusu ufisadi hutokana na kuwa washitaki wanahusika kwenye hizo tuhuma pia.
Siyo rahisi kuwashitaki na kuwatia hatiani Singh na Rugemalila bila kuwaunganisha na watumishi we serikali waliohusika.
 
Back
Top Bottom