Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Wamepelekwa mahakama ya mafisadi au ipi?Muulize Seth Singasinga kama mahakama imekufa au i hai.
Sent from iPhone 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepelekwa mahakama ya mafisadi au ipi?Muulize Seth Singasinga kama mahakama imekufa au i hai.
Sent from iPhone 9
Kiujumla siioni mahama special kwaajili ya mafisadi hapa nchiniHakuna ufisadi bila ushiriki wa watumishi wa uma kwa namna moja ama nyingine. Kusuasua kwa kesi zinazohusu ufisadi hutokana na kuwa washitaki wanahusika kwenye hizo tuhuma pia.
Siyo rahisi kuwashitaki na kuwatia hatiani Singh na Rugemalila bila kuwaunganisha na watumishi we serikali waliohusika.
Acha kuongelea jambo jama huna ABC zake! Ni kutaarifu tuu kuwa mahakama ya mafisadi ina case nyingi tuu...Zikiweo hizo zakina Rugemalira lakini case ikiwa katika hatua ya awali inaendelea kutajwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi hadi hapo utaratibu na upelelezi utakapo kamilika...Baada ya hapo inaanza kusikilizwa kwenye mahakama ya mafisadi.Sheria inamapungufu kadhaa Mahakama ilianzishwa kisiasa sana hivyo inahitajika maboresho kidogo ya hiyo sheria ndy Mahakama ianze kazi.
Hivyo soon sheria itakapofanyiwa maboresho itaanza kazi hata hawa kina Rugemalila watapelekwa tu huko.
Watuhumiwa hao hawawezi kufanya vitendo vyao bila msaada wa watumishi wa serikali. Wao huwa na mipango (nia ovu au mens rea) ambayo kwayo bila kitendo kufanyika hakuna kosa.Kiujumla siioni mahama special kwaajili ya mafisadi hapa nchini
Kwa sasa ilitakiwa ioneshe makucha yake, wahujumu uchumi wapo wengi tu sio lazima watumishi wa serikali wahusike
akina Manji hawa wote ni wahujumu, tupia akina Jamali malinz nk wote hawa ilitakiwa mahakama ya mafisadi iwashuhulikie na sio kuwajaza kisutu ambako mrundikano wa kesi ni mkubwa zaidi
D.A"mwanaume mashine"
Muulize Seth Singasinga kama mahakama imekufa au i hai.
Sent from iPhone 9
Kumbe IPO hapa mawasilianoMahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Mahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Hahahaha rejea sababu zilizofamya ikajengwa. Hakuna kesi ya maana hata moja ukiacha ya Yule Mkurugenzi sijui wa Halmashauri ganiMahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Taarifa zinasema kitilya na mkwe wa lowasa kesi yao imetolewa mahakama ya mafisadi kurudi mahakama za kawaida, bila shaka hii ni moja ya ahadi alizopewa endapo atarudi nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app