Mahakama ya Mafisadi imekufa kifo cha kawaida?

Mahakama ya Mafisadi imekufa kifo cha kawaida?

Utawala huu umejaa matendo ya rushwa kuliko tawala zote
Mahakama ya Ufisadi ilianza rasmi ikiwa ni jitihada za serikali ya awamu ya 5 kupambana na ufisadi nchini. Uazishwaji wa mahakama husika, uliambatana na uwepo wa kesi nyingi za uhujumu uchumi ikiwa ni uwepo wa wateja wa mahakama hiyo.

Wingi wa kesi hizo zikiwa bado katika hatua za mwanzo mahakamani Kisutu, jana limekuja wazo la kushauri uwezekano wa kusamehe watuhumiwa iwapo wataungama makosa na kuwepo uwezekano wa kulipa fedha kulingana na kiwango cha ufisadi.

Magwiji wa sheria naombeni mtujuze juu ya uwepo wa mahakama ya ufisadi iwapo kila mtuhumiwa ataamua kuungama na kuahidi kulipa kiasi cha fedha aliyofisadi.
 
Endelea kushangilia kama mwanzo , tuliwaambia mkaleta ubishi , wanafiki wakubwa nyie !!
 
Mahakama ya Ufisadi ilianza rasmi ikiwa ni jitihada za serikali ya awamu ya 5 kupambana na ufisadi nchini. Uazishwaji wa mahakama husika, uliambatana na uwepo wa kesi nyingi za uhujumu uchumi ikiwa ni uwepo wa wateja wa mahakama hiyo.

Wingi wa kesi hizo zikiwa bado katika hatua za mwanzo mahakamani Kisutu, jana limekuja wazo la kushauri uwezekano wa kusamehe watuhumiwa iwapo wataungama makosa na kuwepo uwezekano wa kulipa fedha kulingana na kiwango cha ufisadi.

Magwiji wa sheria naombeni mtujuze juu ya uwepo wa mahakama ya ufisadi iwapo kila mtuhumiwa ataamua kuungama na kuahidi kulipa kiasi cha fedha aliyofisadi.
Kimsingi hapa ndipo JIWE huwa anakosea. Yeye alitaka kushughulikia mafisadi (grand corruption) na ndiyo ahadi yake kwenye kampeni za 2015. Alikosea alipomlazimisha Mwakyembe akiwa Waziri wa Sheria 2015/16 kuanzisha Division maalum kwa kushughulukia grand corruption. Naye Mwakyembe kwa uwoga akaanzisha Division hiyo ambayo campus yake iko kwenye compound za Law School pale Simu 2000.

Kwa mtazamo wangu hatukuwa na haja ya kuanzisha hiyo Division kwa vile kila kitu kinachohusu ufisadi kiko covered kwenye
Economic Sabotage and Organised Crimes Act ya mwaka 1984.

Pili pamoja na kuianzisha hiyo Division, ofisi ya DPP haikuwa na uhuru wa kupeleka washitakiwa wale ambao ina ushahidi na makosa waliyofanya. Kinyume chake ikasubiri kupelekewa watu ambao Jiwe ana chuki nao au kisasi nao. Ni mwaka wa 3 sasa hamna mtuhumiwa aliyekutwa na hatia hata ya kuiba mboga, wacha hayo mabilioni ambayo Jiwe anatuaminisha.

Hamna namna lazima Mahakama hii inayoitwa ya Madisadi iwe redundant.
 
Huyu bwana mwaka 2015 alizunguka nchi nzima kuitangaza mahakama ya mafisadi hasa hapa alilengwa Lowasa kama fisadi papa.

Mahakama ikaundwa mwaka 2016 na tukaambiwa kuna watu wengi sana na majaji wakaletwa na manengo wakapewa. Mara ya mwisho tukasikia mahakama hizo hazina wateja ila kuna watuhumiwa wengi. Cha ajabu hao watuhumiwa wako gerezan ikidaiwa upelelezi haujakamilika kwa miaka minne sasa.

Leo yule yule aliyeleta matatizo anajitokeza na kusema DPP aangalie namna ya watu hao kukiri na kuachiwa ivi mwenye haki na mamlaka ya kuhukumu ni serikali kwa sheria na katiba ipi?

Hii mihimili ya kisiasa iko kimya hasa mahakama na bunge wote wateuliwa na makada wa ccm.

Haha matatizo yote yamesababishwa na rais ila kuna watu wanajitoa ufahu wanampongeza
 
Leo yule yule aliyeleta matatizo anajitokeza na kusema DPP aangalie namna ya watu hao kukiri na kuachiwa ivi mwenye haki na mamlaka ya kuhukumu ni serikali kwa sheria na katiba ipi? [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Tunatengeneza tatizo kisha mahitaji ya nyakati yanapotimia tunalitatua wenyewe..!!!
 
Leo yule yule aliyeleta matatizo anajitokeza na kusema DPP aangalie namna ya watu hao kukiri na kuachiwa ivi mwenye haki na mamlaka ya kuhukumu ni serikali kwa sheria na katiba ipi? [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Tunatengeneza tatizo kisha mahitaji ya nyakati yanapotimia tunalitatua wenyewe..!!!
[/Q

Mwanasiasa anatengeneza tatizo then anakuja kutatua anasifiwa
 
Ilianzisha makusudi ili kuwatisha watu watakaopelekwa huko wajihisi wana bonge la makesi ! Wakishatishika, hapo inakuwa rahisi kwa serikali kuwachomoa pesa zao!!
 
Mahakama ya Mafisadi ilikua mbwembwe tu 😂

Tz Ukiona Kiongozi katoa tamko kuzuia au kuruhusu jambo lolote jua ni kwa maslahi yake binafsi.

Wanaojijenga kisiasa wanatoa Maelekezo ambayo hayatekelezeki, mfano Bashite na wenzake.
 
KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NAO NI UFISADI.

HUYO FISADI, ALIYEASISI MAHAKAMA YA MAFISADI TUKAMSHITAKI KWENYE MAHAKAMA GANI?

WANASHERIA MCHANGO WENU NI MUHIMU HAPA.
 
Kusema kweli inasikitisha sana, na hii inatokana na nchi kuendeshwa bila kuwa na mfumo wa utawala zaidi ya matakwa ya mtu au kikundi cha watu.
 
Wakuu Kwa mwenye kujua status ya hii Mahakama please share.
In terms of its Operations, number of disputes settled so far, how many cases have had been registered, status of the disputes etc...
 
Itawahusu zaidi watakaokuwa wameukosa msamaha huu wa kukiri na kurudisha pesa za walipa kodi,baada ya 7 days zilizoongezwa kupita then mafisadi wattanza kuhukumiwa
 
Imehamia Magogoni, wenye dhambi wanakiri na kusamehewa, like miracles' church!
 
Leo yule yule aliyeleta matatizo anajitokeza na kusema DPP aangalie namna ya watu hao kukiri na kuachiwa ivi mwenye haki na mamlaka ya kuhukumu ni serikali kwa sheria na katiba ipi? [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Tunatengeneza tatizo kisha mahitaji ya nyakati yanapotimia tunalitatua wenyewe..!!!
Kwahiyo hata hapa kipimdi cha uchaguzi anatemgeneza tatizo then aje na jibu lake maana nimeona kuna maandamano yaamani yanakuja kushinkiza kusiwe na uchaguzi
 
Back
Top Bottom