Tetesi: Mahakama ya mafisadi kuwazoa mawaziri

Tetesi: Mahakama ya mafisadi kuwazoa mawaziri

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
1474365614032.jpg


Mahakama ( kitengo cha mafisadi ) itakuwa ikichukua miezi 9 kuwaukumu mafisadi na wahujumu uchumi.

Wamesema kesi moja haitachukua zaidi ya miezi Tisa kukamilika .

Wamesema kesi zitakuwa zikienda haraka haraka ili kuwaukumu mafisadi na wahujumu uchumi.

Kuna taarifa kuna mawaziri wataenda na maji kwenye mahakama hiyo wafanya biashara pia.
My take tuanze na mawaziri waliotuhujumu kuhusu IPTL na kusababisha hasara kwa tanesco ambayo italipwa na wananchi.
 
Mmmmmhh Mzee Bakhressa tena?? Mbona huyu Mzee awamu hii wanamsumbua hivyo.. Kunani??

Vijana wa Dau njooni
 
sidhani kama itakuwa hivyo...hakimu mwenyewe mtukufu,sidhani kama atakubali ahaibike kwa kupoint mafisadi kuwa mawaziri....alifanya teuzi,akiwa anawajua wote sababu walikuwa wote kwenye safu ya jk ya utendaji kazi...na zile house za serikali,.malaika mtkufu hyo mahakama inamuhusu pia..................
 
sidhani kama itakuwa hivyo...hakimu mwenyewe mtukufu,sidhani kama atakubali ahaibike kwa kupoint mafisadi kuwa mawaziri....alifanya teuzi,akiwa anawajua wote sababu walikuwa wote kwenye safu ya jk ya utendaji kazi...na zile house za serikali,.malaika mtkufu hyo mahakama inamuhusu pia..................
Kuna jamaa aliseam Jana kuwa ni sawa sawa na kukata tawi ulilokalia
 
Bhakresa mkono wa birika hakuchangia mkutano mkuu wa ccm wala kampeni 2015. Anaisoma.
Ndo wanamplizia kisasi eeh Bhakhera ahamishie nchi nyingine maana ukute kodi alikua analipa tu ila kutokuchangia chama tawala au Ku support wengine kuna mu cost
 
Back
Top Bottom