technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
- Thread starter
- #21
Na kukamua kodi zetu piaFaida pekee ya mahakama ya mafisadi kwa mtazamo wangu ni kuongeza ajira kwa wahitimu wa sheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kukamua kodi zetu piaFaida pekee ya mahakama ya mafisadi kwa mtazamo wangu ni kuongeza ajira kwa wahitimu wa sheria.
Una milion7?Hata yeye mwenyewe mwenye hiyo mahakama ashtakiwe
Ila mtu huyu ni muhimu mno kwa uchumi wa nchi na ajira pia.Bhakresa mkono wa birika hakuchangia mkutano mkuu wa ccm wala kampeni 2015. Anaisoma.
Na wewe unaamini hivyo?Kama ni mkwepaji kodi kweli acha ashughulikiwe bila huruma hatuna njia nyingine, ni kuwapiga tu!
Yes hata Mimi nilikuwa nawaza hivyoCjui wangeanza na wale waliosababisha tanesco kulipishwa mipesa na iptl. ....
Wewe si ulisema umeondoka umetuachia nchi tena humu umefuata nini? Changia huko huko ulipoenda usituangaishe ata kidogoHata yeye mwenyewe mwenye hiyo mahakama ashtakiwe
Yako maneno yanayosemwa mtaani kuwa kuna ulipizaji wa kisasi kutokana na pesa ambayo alilipwa ktk zama fulani za utawala baada ya kumwagiwa bidhaa zake kimakosa.Mmmmmhh Mzee Bakhressa tena?? Mbona huyu Mzee awamu hii wanamsumbua hivyo.. Kunani??
Vijana wa Dau njooni
Wacha tuonehvi pale kwa DPP washapeleka OC. wanatia huruma mawakili wetu, na mzigo huu tena wakati shida zimewajaa mpaka utosini wataweza kutoboa kweli!
Sana ni visasi tu!!Ila mtu huyu ni muhimu mno kwa uchumi wa nchi na ajira pia.
tulia dogo wewe na ufanye kaziWewe si ulisema umeondoka umetuachia nchi tena humu umefuata nini? Changia huko huko ulipoenda usituangaishe ata kidogo
HaaaahNdugu yangu kushindana na mtu mwenye pesa ni kazi ngumu sana. Ndiyo maana Rais alisema tumuombee. Mtu mmoja anaweza kuwanunua mahakimu na wapelelezi wote na kesi ikaisha. Na ukikataa kupokea pesa maisha yako yako hatarini ndiyo maana wanaofanya kazi hizo ni kazi za sacrifice. Ninaomba muwaombee mahakimu na wapelezi wa hizo kesi ili Mungu awalinde na hao mafisadi.
Hata waanga wa tetemeko Kagera hakuchangiaBhakresa mkono wa birika hakuchangia mkutano mkuu wa ccm wala kampeni 2015. Anaisoma.
Hasa hasa wangeanza na JK na wote waliosema ile pesa ya Rugemarila waliyogawiana kama karanga haikuwa ya umma halafu leo tunaambiwa tumeshindwa kesi tuilipe.Cjui wangeanza na wale waliosababisha tanesco kulipishwa mipesa na iptl. ....