Nkuba25
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,344
- 13,034
Na afungwe baada ya mahojiano.Of course mohongo anatakiwa kuhojiwa kwa hili!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na afungwe baada ya mahojiano.Of course mohongo anatakiwa kuhojiwa kwa hili!!
Daaaaah ni haibu tupu hii nchiHasa hasa wangeanza na wale waliosema ile pesa haikuwa ya umma halafu leo tunaambiwa tumeshindwa kesi tuilipe.
Bado mnajadili!!!!!??? We ni nani?upembuzi yakinifu umeshafanyika...ila bado tunajadili iwe Dar au Dodoma,kama ni dodoma basi itabidi isubiri mpaka 2020.(in PM voice)
IT WAS JUST KIKI AND PROMOHii mahakama ya mafisadi nayo imekuwa hewa au imepatwa na nini?
Wazir mkuu alituhakikishia kuwa mwezi Julay, 2016 Tanzania ingekuwa na mahakama ya Mafisadi.
Ni nini kimekwamisha huu mkakati wakati Raisi alimtaka jaji mkuu asisubiri bunge kupitisha hii mahakama?
Na pia tulisikia kuwa kuna pesa zilikuwa zimesha tengwa kwa ujenzi wa hii mahakama?
Serikali itufahamishe huu mchakato umefika wapi mpaka sasa? Serkali isipende kutudanganya Watanzania kiasi hiki. Inabidi itambue kuwa "Mungu anawaona". Wengu tunatamani kumuona yule fisadi mliyekuwa mnatuambia kipindi cha kampain akifungua hii mahakama kama mshtakiwa wa kwanza.
WanaJF hebu
View attachment 404470
View attachment 404480
angalia kwenye mabano....Bado mnajadili!!!!!??? We ni nani?
Mafisadi na ukifika kwenye chama unakuta kakaa nao na yeye ndie mwenyekit
Gazeti wamesema kashfa ya kodi. Usipende kuongeza visivyokuwepo!Ndo wanamplizia kisasi eeh Bhakhera ahamishie nchi nyingine maana ukute kodi alikua analipa tu ila kutokuchangia chama tawala au Ku support wengine kuna mu cost
Kwanini watoe tamko? Kwani dau kawaje?Vijana Wa dau njoooni embu mtoe tamki
Upinzani hauna tofauti kwa sasa, ufisadi upo kwa chama tawala a upinzani. Hoja ya ufisadi imewekwa pembeni.Hyo mahakama ni maigizo tu kuwahadaa watu ufisadi ndo ngao ya ccm ka ilivo samaki na maji.