technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ni Tanzania mpyaKabla Sijachangia:Ilo gazeti ni la Chama Dola au Mtu Binafsi!
Diva kwanini unaisi ni maigizo na si mazingaombwa?Hyo mahakama ni maigizo tu kuwahadaa watu ufisadi ndo ngao ya ccm ka ilivo samaki na maji.
la ccm?Ni Tanzania mpya
Daaah sijui alikosa nini?Mmmmmhh Mzee Bakhressa tena?? Mbona huyu Mzee awamu hii wanamsumbua hivyo.. Kunani??
Vijana wa Dau njooni
La kumsifia mkuula ccm?
Of course mohongo anatakiwa kuhojiwa kwa hili!!Waanze na Muhongo ili akaeleze vizuri zile Pesa za ESCROW ni za umma au za watu binafsi.
Tena ni zaidi ya mazigaombwe ya kupumbaza ufisadi mwingi hunufaisha mtandao wa chama na hakuna aliye musafi huko wakumnyooshea mwenzake. Hyo mahakama ingeanza na kina lugumi matokeo yake imebqki blah blah tu.Diva kwanini unaisi ni maigizo na si mazingaombwa?
Kuna jamaa aliseam Jana kuwa ni sawa sawa na kukata tawi ulilokaliasidhani kama itakuwa hivyo...hakimu mwenyewe mtukufu,sidhani kama atakubali ahaibike kwa kupoint mafisadi kuwa mawaziri....alifanya teuzi,akiwa anawajua wote sababu walikuwa wote kwenye safu ya jk ya utendaji kazi...na zile house za serikali,.malaika mtkufu hyo mahakama inamuhusu pia..................
Ndo wanamplizia kisasi eeh Bhakhera ahamishie nchi nyingine maana ukute kodi alikua analipa tu ila kutokuchangia chama tawala au Ku support wengine kuna mu costBhakresa mkono wa birika hakuchangia mkutano mkuu wa ccm wala kampeni 2015. Anaisoma.
Kwa hiyo kutochangia mkutano ndio tatizo?Bhakresa mkono wa birika hakuchangia mkutano mkuu wa ccm wala kampeni 2015. Anaisoma.