Tetesi: Mahakama ya mafisadi kuwazoa mawaziri



Hivi hayo yalisemwa na Makamba au Sumaye?
 
Ndio mwisho wa CCM, maana kuna wale Makada wa CCM waliotengeneza ARV feki, Kuna yule anayejifanya Usalama wa Taifa, Kuna wale wenye Majina Feki, kuna wale wenye miradi ndani ya Serikali, wanacheza dili, kuna wale waliojimilikisha mali za Taifa....
Tangu 2005 tunasema mwisho wa ccm. Kiongozi, ccm haiwezi kutoka madarakani kwa mentality tulizo nazo. Na ndio maana unaona ccm ndio chama kikongwe dola kilichobaki katika nchi zetu.

Kwa upinzani huu uchwara, kwa sisi wananchi tuliopo wenye uwezo mdogo wa kupembua mambo, sidhani kama ccm inatoka madarakani anytime soon.
 
Miez 6 mbna mingi sana kama upo crias na kesi hata miez 3 inakamilika kwan kuna kesi nyng kiasi hcho wamechemka
 
sasa si waanze kuwakamata, maigizo tumechoka nayo....
Mkuu Haya Ndiyo Mawazo Watu Millions 45 Na Zaidi Tunawaza Tena Kwa Haraka Sana Kuliko!!

Mawazi Wako Bungeni Hao Wakamatwe Wakati Wa Vikao Vya Bunge Hasa Vikuendeshwa Kupunguza Gharama Ya Kuwatafuta.

KwakuwA Majizi Yote Yapo Hapa Hapa Tanzania
Tupunguze Maigizo Kwasasa
Tuone Wakikamatwa
 

Unajua hata mgonjwa aliyeko ICU watu huwa wanasema sio wa leo au kesho lakini anaweza kumaliza hata wiki. Ila mara nyingi huwa hawatoki wakiwa hai. Ndivyo ilivyo kwa ccm iliyoko ICU yaweza isiwe leo au kesho but soon it will be history
 
Subiri tuone hiyo mahakama muundo wake na utendaji wake kikazi,kama kulikuwa na haja ya kuiunda mahakama maalum badala ya kutumia mahakama za kawaida.
Wapo wanaodai kuongeza mahakama maalum ni kuongezea wananchi gharama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…