Mahakama ya Rufani Itoe Ratiba ya Kesi Zote Walizonazo

Sasa kama huishi tegeta A kwanini ulikua unabisha kuhusu shida za Tegeta A? Unatetea wapuuzi wenzio utasema unalala nao kitanda kimoja. Punguza kiherehere
Toka mwanzo nimekuambia kwamba mimi nimewahi kuishi, na kufanya kazi za chama na serikali huko Tegeta A, na maeneo mbali mbali ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.

Kwa hiyo viongozi wa sasa wa huko ninawajua vizuri katika kazi zao kwa sababu nimeshirikiana nao.

Mara ya mwisho nilihidhuria msiba wa Kazumba Charles Kazumba maeneo ya Njia Panda Tegeta A.

Kuna vijana huko kama Mdoe na wengineo kama Suzy Allen Mzee Mbegu bila kumsahau Rambo.
 
Unanitajia wa nini mimi tengenezeni barabara bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…