Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

Kwa majibu haya ya mahakama,tusishangae kujikuta tuna watumishi wasio waadilifu sababu hawajui kesho yao.
na hata wakienda mahakamani wataambiwa rudini kwa mwajiri wenu awape majibu.

Watu wataanza kutumia vibaya nafasi zao ili kujinufaisha mapema kabla hayajawakuta.
Na hapa wa kuumia ni sisi raia ambao tutake tusitake ni lazima twende kupata huduma kwenye
ofisi za umma ambazo hazina mbadala wake.
 
Hiki
Hiki kifungu kineanza lini?na je waliofukuzwa kazi kabla ya kifungu hiki wanafanyaje?
Hiki kifungu kineanza lini?na je waliofukuzwa kazi kabla ya kifungu hiki wanafanyaje?
Hiki kifungu kimeanza mwaka 2017
Lengo kuu hasa ni watumishi wasio na cheti kidato cha nne....
Mwendazake aliona wengi watakimbilia CMA... Akaamuwa kuwapiga pini wasiende huko na yeye mwenyewe awe muamuzi wa mwisho na sio mahakama...

Moja ya kifungu cha hovyo kufanyiwa marekebisho... Kabla ya hapo watumishi walikuwa wanakwenda CMA
 
Hiki
Hiki kifungu kimeanza mwaka 2017
Lengo kuu hasa ni watumishi wasio na cheti kidato cha nne....
Mwendazake aliona wengi watakimbilia CMA... Akaamuwa kuwapiga pini wasiende huko na yeye mwenyewe awe muamuzi wa mwisho na sio mahakama...

Moja ya kifungu cha hovyo kufanyiwa marekebisho... Kabla ya hapo watumishi walikuwa wanakwenda CMA
Pamoja na nia yake ya kutaka kuwapiga pin watumishi, bado wanasheria wake mwendazake walidraft vibaya kifungu hicho na kukifanya kisiwe na maana yoyote na wanasheria haohao wakawa wanakitumia kuielekeza vibaya mahakama kufikia maamuzi, na wakafanikiwa kwa kutufikisha hapa tulipo sasa.

Sasa tunaitaka mahakama ya Rufaa ipitie uamuzi wake na kujitafakari na kubadili ilichokisema kwa kuwa kifungu cha 32A hakijatoa mamlaka ya CMA kusikiliza kesi bali ni mawazo tu ya mwendazake na wanasheria wake ambayo walishindwa kuyaweka kisheria ila wakawa wanayuzungumza mahakamani (just thoughts with no legal back up)...tunataka CMA irejeshewe mamlaka yake japo nako ma-arbitrator ni kama wameshakontroliwa hivi kwa sasa
 
Pamoja na nia yake ya kutaka kuwapiga pin watumishi, bado wanasheria wake mwendazake walidraft vibaya kifungu hicho na kukifanya kisiwe na maana yoyote na wanasheria haohao wakawa wanakitumia kuielekeza vibaya mahakama kufikia maamuzi, na wakafanikiwa kwa kutufikisha hapa tulipo sasa.

Sasa tunaitaka mahakama ya Rufaa ipitie uamuzi wake na kujitafakari na kubadili ilichokisema kwa kuwa kifungu cha 32A hakijatoa mamlaka ya CMA kusikiliza kesi bali ni mawazo tu ya mwendazake na wanasheria wake ambayo walishindwa kuyaweka kisheria ila wakawa wanayuzungumza mahakamani (just thoughts with no legal back up)...tunataka CMA irejeshewe mamlaka yake japo nako ma-arbitrator ni kama wameshakontroliwa hivi kwa sasa
Mkuu ni kweli... kuna kesi moja ngoja nijaribu kuweka attachments..
Yaani moja ya sheria ya hovyo...
 

Attachments

Mkuu ni kweli... kuna kesi moja ngoja nijaribu kuweka attachments..
Yaani moja ya sheria ya hovyo...
Jaji Matupa hapa alieleza vyema sema sasa CAT ndio wametoa uamuzi wa kuiondolea mamlaka CMA, hapa bila kubatilisha uamuzi huo, ndio inakuwa "sheria" sasa malalamiko kwenda Tume ya Utumishi wa umma. Kifungu cha 32A kinakuwa kimepewa nguvu na mahakama
 
Pamoja na nia yake ya kutaka kuwapiga pin watumishi, bado wanasheria wake mwendazake walidraft vibaya kifungu hicho na kukifanya kisiwe na maana yoyote na wanasheria haohao wakawa wanakitumia kuielekeza vibaya mahakama kufikia maamuzi, na wakafanikiwa kwa kutufikisha hapa tulipo sasa.

Sasa tunaitaka mahakama ya Rufaa ipitie uamuzi wake na kujitafakari na kubadili ilichokisema kwa kuwa kifungu cha 32A hakijatoa mamlaka ya CMA kusikiliza kesi bali ni mawazo tu ya mwendazake na wanasheria wake ambayo walishindwa kuyaweka kisheria ila wakawa wanayuzungumza mahakamani (just thoughts with no legal back up)...tunataka CMA irejeshewe mamlaka yake japo nako ma-arbitrator ni kama wameshakontroliwa hivi kwa sasa
Hapa Jaji anasema sio kila mtumishi wa Serikali anaangukia katika sheria ya utumishi wa umma....
Wanasheria wa Serikali wamejaribu sana kupotosha Mahakama...
 

Attachments

Jaji Matupa hapa alieleza vyema sema sasa CAT ndio wametoa uamuzi wa kuiondolea mamlaka CMA, hapa bila kubatilisha uamuzi huo, ndio inakuwa "sheria" sasa malalamiko kwenda Tume ya Utumishi wa umma. Kifungu cha 32A kinakuwa kimepewa nguvu na mahakama
Jaji Matupa hapa alieleza vyema sema sasa CAT ndio wametoa uamuzi wa kuiondolea mamlaka CMA, hapa bila kubatilisha uamuzi huo, ndio inakuwa "sheria" sasa malalamiko kwenda Tume ya Utumishi wa umma. Kifungu cha 32A kinakuwa kimepewa nguvu na mahakama
Wakuu ,

Inabidi hii 32A iangaliwe... Watu bado wanaonewa sana
 
Nashukuru kwa ufafanuzi Mkuu, maana kuna ndugu yangu ni Mhanga, amekata Rufaa kwenda kwa Rais mara baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma, Rufaa amekata tangu mwaka 2019, lakini bado hajajibiwa mpaka sasa.
Majibu kashapata u??
 
Wakili msomi Peter Kibatala amejitolea kumtetea Jonas Afumisye Mwangunga aliefukuzwa kazi na shirika la TRC kwa kupinga TOZO, wakili Kibatala amesema endapo Jonas atakwenda Mahakamani kutafuta haki yake yeye yupo tayari kumtetea bure.
 
MAHAKAMA YA RUFANI: CMA HAINA MAMLAKA WAFANYAKAZI WA UMMA

Mahakama ya Rufani ya Tanzania imesema Tume ya Usuluhishi ya wafanyakazi (Commission for Mediation and Arbitration-CMA) haina mamlaka ya kusikiliza na kutolea maamuzi kesi zinazohusu migogoro ya wafanyakazi wa umma.

Kupitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania imesema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, pale mfanyakazi anapofukuzwa kazi na mkuu wa idara au shirika la Serikali anatakiwa kukata Rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma, na endapo mfanyakazi atakuwa hajaridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma basi anatakiwa akate rufaa kwenda Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais yatakuwa ya mwisho, hii ni Kwa mujibu wa Kifungu Cha 25 Cha sheria ya utumishi wa umma Public Service Act (Cap 298 R.E. 2019)

Dominic A. Kalangi alikuwa mfanyakazi wa Shirika la Posta (Tanzania Posts Corporation), mwaka 2017 ajira yake ilisitishwa Kwa utovu wa nidhamu.

Dominic alipeleka malalamiko yake CMA ambapo alishindwa kesi akakata Rufaa Mahakama kuu Mtwara ambapo mahakama kuu ikaamuru Shirika la Posta limlipe fidia ya mishahara ya miezi sita Dominic A kalangi. Shirika la Posta likakata Rufaa Mahakama ya Rufani ya Tanzania

Kwa Mujibu wa sheria Shirika la Posta la Tanzania ni Mali ya umma linalomilikiwa na serikali hivyo wafanyakazi wake ni watumishi wa umma.

"Going by the wording of the above-quoted provision, it is unambiguously clear that all disciplinary matters or disputes involving public servants are exclusively within the domain of the Public Service Commission whose decision is appelable to the President. As correctly submitted by Ms. Kinyasi and as amply demonstrated above, the CMA has no jurisdiction to adjudicate upon such matters."

View attachment 2175700View attachment 2175702
Shetani alibadilisha sheria ili kuumiza watu
 
Anaweza ila ni mpaka amalize hatua zote za ndani, yaani aende tume ya utumishi watoe amri na kama hajaridhika aende kwa Rais nako akiwa hajaridhika na maamuzi ndio waende mahakamani. Hiyo ni timeframe ya kama miaka 4 hivi
 
Anaweza ila ni mpaka amalize hatua zote za ndani, yaani aende tume ya utumishi watoe amri na kama hajaridhika aende kwa Rais nako akiwa hajaridhika na maamuzi ndio waende mahakamani. Hiyo ni timeframe ya kama miaka 4 hivi
Hapo tume tuu inaweza ikakaa hata miaka mitatu
 
Hiyo itapinduliwa muda sio mrefu..
Cooperative bodies (mashirika ya umma) yanayo miongozo yake..
Kuna watumishi wameajiriwa na mashirika moja kwa moja.. Na mikataba ya kazi ipo open sana.. Kwamba ikitokea mgogoro ruksa kwenda Mahakamani na ni chombo cha mwisho cha uamuzi..

Kuna waajiri ambao wameajiriwa na Serikali kuu moja kwa moja bila kupitia Mashirika ya Umma.. Hao wanaweza kwenda kwa Rais.. Pia sio mwisho wanaruhusa kwenda Mahakamani kama kuna uonevu
Judicial review inahitajika kwa sheria hizi kandamizi za wafanyakazi.
 
Anaweza ila ni mpaka amalize hatua zote za ndani, yaani aende tume ya utumishi watoe amri na kama hajaridhika aende kwa Rais nako akiwa hajaridhika na maamuzi ndio waende mahakamani. Hiyo ni timeframe ya kama miaka 4 hivi
Mkuu sajo hivi ofisi ya raisi rufaa huchukua muda gani?
 
Mkuu sajo hivi ofisi ya raisi rufaa huchukua muda gani?
Hakuna muda wa kisheria uliowekwa kwa Rais kutoa uamuzi wa Rufani , lakini uzoefu unaonesha ni kati ya miaka 2 na kuendelea (wengine mpaka miaka 5 huko), yaani Rais anatoa uamuzi wa rufaa pake atakapojisikia kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom