Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Mungu anapanga yote, maisha yetu yapo chini yake... haikupangwa kutimia 🙏2018 February Hayati Dr Magufuli wakati akiwapisha majaji alisema kuna majaji wakati wa Likizo wanaenda kula bata nje ya nchi na familia zao.
Hayati aliongeza kwa kusema anawafatilia kwa ukaribu kuona hizo pesa wanazitoa wapi.
Bahati Mbaya Mwenyezi Mungu alimchukua kabla hajafanya ukarabati na muundo mpya wa taasisi hiyo nyeti ya utoaji haki.
Mkuu mjadala unapokuja mezani maana yake ujadiliwe na watu wachangie. Wakosoe, warekebishe na kuboresha.Ukiamua kuleta hoja fulani ni vizuri ukajielimisha ili upate ufasaha wa kile unachokusaidia kutulisha vinginevyo utatulisha matango pori.
Kwanza kabisa muundo wa Mahakama wa Marekani ni tofauti na wa kwetu.
Kwa mfano mdogo kwenye hoja yako USA wana Supreme court moja tu nchi nzima. Ndio maana umeona wana majaji 9 tu.
Sisi hatuwezi kuwa Majaji wachache kiasi hicho katika ngazi ya Mahakama ya Rufaa kwa sababu tuna Mahakama za rufaa zaidi ya moja.
Ukiamua kuhesabu Majaji waliopo USA utakuta idadi yao ni kubwa kuliko idadi ya Majaji na Mahakimu wetu kwa pamoja.
Kuhusu sustainability kaka.......Kama hakuna systematic approach ukifa au ukitoka madarakani vyote vinakufa.Kwa muda aliyokaa na aliyoyafanya ni makubwa mno aliweza kuleta uwajibikaji kwenye sekta ya umma kitu ambacho marais wetu karibia wote walishindwa
hizi fly overs na miundominu tuliona kama ndoto ila akakamilisha,
UKiacha mapungufu yake ya kuchukia matajiri, he did his best for this country
Yes tatizo lilikuwa hapo alikuwa kama mfalme hakuamini mifumoKuhusu sustainability kaka.......Kama hakuna systematic approach ukifa au ukitoka madarakani vyote vinakufa.
Matajiri wana kiburi sana! Nafkiri ndomana aliwachukia.Kwa muda aliyokaa na aliyoyafanya ni makubwa mno aliweza kuleta uwajibikaji kwenye sekta ya umma kitu ambacho marais wetu karibia wote walishindwa
hizi fly overs na miundominu tuliona kama ndoto ila akakamilisha,
UKiacha mapungufu yake ya kuchukia matajiri, he did his best for this country
Kusikiliza kesi na kufanya maamuzi ni suala la nyeti sana siyo la kutumia mifumo hii ambayo muda mwingi haifanyi kazi sawa sawa.Imeenda wapi? hapo unapate net ya kuingia hapa? ni Wilaya gani haina mawasiliano ya internet hapa bongo?
Mapungufu ya Magufuli hayakuwa ya kibinadamu. Unajua maana ya mapungufu ya kibinadamu weye? Unaua halafu unasema mapungufu ya kibinadamu?Magufuli alikuwa kiongozi mzuri tukubali tukatae pamoja na mapungufu yake kama binaadamu
It was very unlucky for the countryYes tatizo lilikuwa hapo alikuwa kama mfalme hakuamini mifumo
Bunge ndiyo chombo pekee yenye uwezo wa kuunda vizuri muundo wa mahakama, Magufuli yeye angeanzia kwenye katiba. ila kutokana na msimamo wake kuhusu katiba hivyo alikuwa anakudanganya.2018 February Hayati Dr Magufuli wakati akiwapisha majaji alisema kuna majaji wakati wa Likizo wanaenda kula bata nje ya nchi na familia zao.
Hayati aliongeza kwa kusema anawafatilia kwa ukaribu kuona hizo pesa wanazitoa wapi.
Bahati Mbaya Mwenyezi Mungu alimchukua kabla hajafanya ukarabati na muundo mpya wa taasisi hiyo nyeti ya utoaji haki.
DuuhBunge ndiyo chombo pekee yenye uwezo wa kuunda vizuri muundo wa mahakama, Magufuli yeye angeanzia kwenye katiba. ila kutokana na msimamo wake kuhusu katiba hivyo alikuwa anakudanganya.