tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hapo ukiwapekua kwenye nguo zao lazima wamejiharishia roho,mawakili wa ccm wajinga kma macho kodo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍 safi kabisa hoja hii kisheria.Updates; Kibatala anasema Muandaaji alikuwa na hila. Muandaji alikuwa anainajisi sheria. Mheshimiwa Jaji tunarudia tena Maombi yetu kuwa Hmhati ya Mashtaka ni BATILI kwa namna hiyo na tunaomba mashtaka yatupiliwe Mbali. Wakili Kibatala anakaa chini kwa UTULIVU.
Dada punguza genye utapata mp bure,airhostess n siro wanaenda kuonekana vilaza wajinga kuwahi kutokea toka dunia iumbwe,bladifakenUmesahau kuandika dunia nzima imetikisika.
Inama nikushughulikie.Dada punguza genye utapata mp bure,airhostess n siro wanaenda kuonekana vilaza wajinga kuwahi kutokea toka dunia iumbwe,bladifaken
Mbona nimeshaenda ila nimekaa mbali na hao Mapoliccm wasiokua na huruma wala Uzalendo.Vipi sasa hivi mbona sioni ukipeleka hata pua hako pale?
Mimi sio mtaalau wa sheria lakini naona hapa kuna dalili za:Wamwachie tu!
Unaelewa sheria za TANZANIA chanzo chake ni wapi au unaandika kwa kutumia mihemko?Mahakama zetu bado hazijaondokana na ukoloni wa Lugha ya kizungu, sijui nani tena atakuja kuuondoa huu ukoloni ambao kimsingi umekuwa kama "ulaji" kwa wanao kitumikia na kukiabudu kizungu...
Mawakili wa serikali wana kazi sana kwenye hizi kesi zisizo na kichwa wala miguu"lakini mawakili wa serikali wamekataa hivyo wao wanasema mkiwa na mawazo yanayofanana ni kikao tayari."
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe ni dada huna tofauti na shaka,wazee wa kuinamishwa tunajua hiloInama nikushughulikie.
Umesahau kuandika dunia nzima imetikisika.
Hata mwenye roho mbaya kama Magu lakini alikufa.Mungu anayeona sirini mwa moyo wa mtu na dhamira yake yeye anaye hukumu kwa haki na akupe sawa sawa na mapenzi yakeMbowe hatoki
Vipi mawakili wenu umepata kuwasikia ?Comment chochote kuhusu wao !!Ukimaliza kachukue 7000 yakoMbona umekaa kimipasho sana!!?
That is a proffesional work hakuna udhalilishaji
ni submission tu......
sasa ngoja j3 mbagazwe alafu sijui kama utatumia hilo neno udhalilishaji
Naona Jaji anakula tutorial. Hili ni sono sio kwa wanasheria tu, hata ma jaji naamini wanaoanua ubongo.Wamwachie tu!
Inasubiriwa hukumu.Na kesi ya Sabaya inaendeleaje?
Aliyekuwa mbunge wa HAI Freeman mbowe yuko mahakamani Dar es salaam...
Inama nikushughulikie.Wewe ni dada huna tofauti na shaka,wazee wa kuinamishwa tunajua hilo
Si kweli.Chuki itakuumiza wewe mwenyewe humo kwenye moyo wako.
Akishinda hii kesi mtakuja hapa kusema amekiona cha moto badala ya kuona dhulma aliyotendewa!Muda ni mwalimu!Mbowe hatoki