Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mtumaji mkuu kafwaa...Waliobaki wote wanapiga magoti kwa Mother ili kuyashibisha matumbo yao, hawataki kusogelewa na Musiba hata within 1 kmWaliomtuma kutukana watu wamsaidie kulipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumaji mkuu kafwaa...Waliobaki wote wanapiga magoti kwa Mother ili kuyashibisha matumbo yao, hawataki kusogelewa na Musiba hata within 1 kmWaliomtuma kutukana watu wamsaidie kulipa
Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Musiba alikua untouchable.Ukimgusa Musiba Basi hicho chombo ulichotumia kumgusa Kesho yake kinafungiwa na mmiliki anapewa kesi ya kukwepa kodi.. kuhujumu uchumi... Na anapewa kesi ya ugaidi wa kwenda na chainsaw kukata magogo ya kuweka barabarani kuchagiza ugaidi.
Alikuwa na mashabiki?Huyu jamaa kuna kipindi nilikuwa nafungua uzi kulalamika kwa nini anaachiwa achafue watu nilikuwa nadhihakiwa na mashabiki wake halafu baada ya muda uzi unaondolewa, naona sasa anavuna alichopanda !
View attachment 1989470
Anaamika ndiyo maana anaweza kuwa na madeni ya namna hii!!! Lazima tujaribu kutafuta vimelea vya uchanya kwenye kila jambo badala ya uhasi ili kupunguza uwezekano wa kusononeka! Tupo pamoja?Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Walikuwepo, ilikuwa ukimsema unaambiwa tulia naona umeguswa panapostahili, hata mtaani kuna watu walikuwa wanamuamini kabisa wanaona anawapambania watanzaniaAlikuwa na mashabiki?
Musiba alikua untouchable.
Auze mafigo yake moyo na utumbo India wananunua bei nzuri atapunguza deni, jamaa alikuwa mropokaji sanaSasa atazitoa wapi hizo bilioni nyau huyo
Mama tibaijuka nae ana tuzo dhidi ya musibaKwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Wanamkimbia...CCM wahuni sana, wanakutumia na kukupamba, ukitokea msala wote wanakukimbia wanakuacha peke yako, wao wanaenda kuimba mapambio kwa mwenye mpini wakati huo!Kwa waliokuwa wanamtuma kupaza sauti za matusi...😁😁
Watachukua mali yote aliyonayo kwanza mpaka ifike bil6...itakayobakia ataamriwa atoe utaratibu wa namna ya atakavyolipaNi dhahiri hataweza kulipa hiyo faini, kwa hiyo itakuwaje? wanasheria hebu saidieni
Jiwe amewaponza wengi!Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili mkurugenzi mkuu wa gazeti la Tanzanite na mwanaharakati huru, ndugu Musiba dhidi ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, ndugu Bernard Membe. Mahakama hiyo imemtaka Musiba kulipa kiasi hicho cha pesa.
Unahisi Mahakama ni Bavicha?Musiba ni kichwa hao wanafurahisha genge tu...hawapati hata sh kumi yake na jela hakai... jifunzeni sheria bavicha msipende sna kuwkea nguvu kwenye povu
Alikua anaitisha press conference kukosoa utendaji wa viongozi wa vyama vya siasa, polisi hata na viongozi wa serikali.Maisha yanaenda kasi sana yaan miez 7 iliyo pita Mwanaharakati huru alikua untouchable 🤣🤣🤣
M
Mama tibaijuka nae ana tuzo dhidi ya musiba