mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Bilion 13.8Hivi ukizijumlisha na zile za Shangazi wa Taifa Bi Fatma Karume zinakuwa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilion 13.8Hivi ukizijumlisha na zile za Shangazi wa Taifa Bi Fatma Karume zinakuwa ngapi?
Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili mkurugenzi mkuu wa gazeti la Tanzanite na mwanaharakati huru, ndugu Musiba dhidi ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, ndugu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba highly indebted poor person.Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Kama sikosei anadaiwa pia na Tibaijuka 80m.Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Alisahau kuwa sponsor hatoishi milele😂Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili mkurugenzi mkuu wa gazeti la Tanzanite na mwanaharakati huru, ndugu Musiba dhidi ya
Jumla: 13.58bnBilion 13.8View attachment 1989481