Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Kwani bado lipo?Gazeti la Tanzanite litakanusha kuhusu director wake kuangukia pua 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bado lipo?Gazeti la Tanzanite litakanusha kuhusu director wake kuangukia pua 😂😂
Ukijumlisha na lile deni letu la taifa ambalo kila mtanzania anadaiwa milioni na kitu hivi, itakua shilingi ngapi kwa musiba anayodaiwa?Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Kuna madeni ukidaiwa unacheka tu.Aisee !!!? Billion 7 + billion 6 hapo lazima ufe kwa pressure
Unashtaki ukijua uwezekano wa kulipwa ni 0.00001% faida yake nini?akilipa iyo na alipe zile za shangazi wa zenji
Tiss ilitumika sana kwenye uchafu wa Musiba, hili jambo limeiaibisha sana nchi.Hawa ndio walikua wanamfanya Jiwe ua STONE.
Musiba auzwe ili madeni yalipwe!M
Mama tibaijuka nae ana tuzo dhidi ya musiba
Kwani lipo? Wafanyakazi wanamdai nao sijui wapo kwa Pilato!Gazeti la Tanzanite litakanusha kuhusu director wake kuangukia pua 😂😂
labda ISIS wamnunue kujaribu ukali wa majambia yao.Musiba auzwe ili madeni yalipwe!
Akikata rufaa ataendelea kuongeza madeni. Afanye uamuzi wa kishujaa kama wenzetu wa kule Kihesa.Na alivyofulia huyu fala anahela hata ya kuweka mawakili ili wakate rufaa?
Siyo ajitoe muhanga!labda ISIS wamnunue kujaribu ukali wa majambia yao.
Atafaidi mabikira kadhaa bila sababu ya msingi.Siyo ajitoe muhanga!