Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhTena aliomba pesa ndogo sana, alitakiwa adai bilioni 1.5
Wanamtoaje kazi wakati mwajiri na mdaiwa ni watu wawili tofauti?Wakimlipa na kazi wana mtoa kufidia uchungu [emoji3]
Kupata hela sometime sio shida ila sasa kuifanya hela izalishe hela nyingine ndipo palipo pagumu tena pagumu sana . Si ajabu ndani ya miezi sita ndugu abiria akawa hana hata mia!!Daah Maisha haya......jamaa mara paap kawa milionea............
Nenda kazengee hizo 150 M pale New Force, kaseme wewe ni shemeji yake Ndugu abiria, utaoneshwa fasta.Tuwekeeni hizo picha wengine tuko hukuuu
Yutong 300, hizo hazitoshi.Anapata Yutong au Tata yake mwenyewe
Sina njaa ya hivyoNenda kazengee hizo 150 M pale New Force, kaseme wewe ni shemeji yake Ndugu abiria, utaoneshwa fasta.
Na uzuri ni kuwa fidia inaweza kuongezwa na Mahakama za Juu - kwamba badala ya Tshs. 150 milioni, sasa jamaa apewe shilingi milioni 235.Ubaya wa kesi, hukumu za mwanzo zinaweza tenguliwa
JF bhana Raha sana.Milioni 150 ni hela ndogo sana kwenye matumizi japo ni nyingi kwa kuitamka. Nimependa ujasiri wake wa kupigania haki yake, ni mwanzo mzuri wa kuwa na kizazi cha watu wachache wanaojitambua.
Ndugu abiria nimerudi tena baada ya kumaliza ile 150 Kwa speed ya kushuka kitonga!Kupata hela sometime sio shida ila sasa kuifanya hela izalishe hela nyingine ndipo palipo pagumu tena pagumu sana . Si ajabu ndani ya miezi sita ndugu abiria akawa hana hata mia!!
😂 😂 😂Ndugu abiria nishakuwa milionea tukifika Dumila tafuteni dereva mwingine awafikishe Dar!