daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Bila shaka mwanasheria aliona fursa akamtonyaAkitoa pesa ya kuendeshea kesi na kumlipa wakili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka mwanasheria aliona fursa akamtonyaAkitoa pesa ya kuendeshea kesi na kumlipa wakili
Mkuu kama hutojali nipe contact za ile pisi nyeupe main character imenyooka mno.Jamaa ua hana makuu kabsa nlfanya nae tangazo la Tgo sema mikataba ya apa na pale imemfumbua macho ye alkua anaona n for fun
Anapata zhongtong lake jipya maana asilimia 30 ya kuanzia tayari anayo
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
Nawe ni member wa JF? Naona darasa lilikupiga chenga.Jamaa ua hana makuu kabsa nlfanya nae tangazo la Tgo sema mikataba ya apa na pale imemfumbua macho ye alkua anaona n for fun
Kweli Mungu ana njia nyingi zakumpa mtu ridhiki, jamaa kashapata mtaji hapo kimasihara tu
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
Mwanae.Mbona anafanana na aliewahi kuwa mbunge wa mbeya mjini
Mwanae.
Hii ndilo zali la mentali aliloimba Prof. Jay.
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
Ungewajua hao Dexter Insuarance wenyewe, hata uwezo wa kulipa milioni 5 sijui kama wanao..Daah Maisha haya......jamaa mara paap kawa milionea............
Labda Coaster na sio bus.Muda muafaka Sasa wa kuendesha basi lake mwenyewe.
🤣🤣🤣🤣🤣^Ndugu abiria, mahakama imefanya uamuzi mzuri sana leo. So, mna dakika 45 za kuchimba dawa ndipo tuendelee na safari yetu.^
Kwamba kabla ya hapo hakuna makubaliano?Mpaka kushinda iyo kesi sio kazi rahisi kama muonavyo kuna watu nyuma yake wametumia akili zao kushinda iyo kesi,hapo mawakili wakija kutoa gharama zao za mizunguko ya hapa na pale,kisha sasa ndio waje kwenye mgawanyo......Jamaa anaweza bakiwa hata na 40,mia na kumi nzima zikawa gharama za kuendeshea kesi
Ww uliesoma uko umu unafanya nn punguza kukurupukaNawe ni member wa JF? Naona darasa lilikupiga chenga.
Mpaka kushinda iyo kesi sio kazi rahisi kama muonavyo kuna watu nyuma yake wametumia akili zao kushinda iyo kesi,hapo mawakili wakija kutoa gharama zao za mizunguko ya hapa na pale,kisha sasa ndio waje kwenye mgawanyo......Jamaa anaweza bakiwa hata na 40,mia na kumi nzima zikawa gharama za kuendeshea kesi