Mahakama yaamuru Dereva wa "Ndugu abiria" kulipwa Tsh Milioni 150

Anapata zhongtong lake jipya maana asilimia 30 ya kuanzia tayari anayo
 
Kweli Mungu ana njia nyingi zakumpa mtu ridhiki, jamaa kashapata mtaji hapo kimasihara tu
 

Mbona anafanana na aliewahi kuwa mbunge wa mbeya mjini
 
Hii ndilo zali la mentali aliloimba Prof. Jay.
 
Ndugu abiria bila mtu kujitokeza kunifanyia massage nawaachia msamvu
 
Kwamba kabla ya hapo hakuna makubaliano?

Kesi za madai huwa zina makubaliano kabla ya kesi.

Tukishinda nakupa % kadhaa.
 

Hapana gharama za kesi analipa aliyeshindwa kesi baada ya mahakama kufanya taxation. Labda mahakama iamue kila pande ishughulikie gharama za kesi.

Huwezi kuchukua damages Kama gharama za kesi. Gharama za kesi zipo documented kwenye regulations za mawakili hazotoki hewani.
 
Na aliyekuwa anapiga picha hakujua kabisa kuwa zile sekunde tano za kupiga picha anatengeneza milioni 150. Haya maisha bwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…