Mahakama yaamuru Mali za Maxcom Afrika zipigwe mnada

Mahakama yaamuru Mali za Maxcom Afrika zipigwe mnada

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Kwa wanaokumbuka kabla ya 2015 hivi. Hii kampuni ilitamba sana bongo na kuwezesha malipo ya Serikali, wakuitwa MaxMalipo...

Story yao kwa sasa inasikitisha kidogo, baada ya bank ya Stanbic kuiburuza mahakamani wakidai walipwe malimbikizo ya deni la Bil 12.

Mahakamani walijitetea kwamba baada ya Serikali kuwa na mfumo wao wa malipo na kupoteza tenda zote Serikalini ikiwepo Tanesco, BRT nk.. wamekwama.

Hata hivo mahakama ilitupilia mbal madai yao, kwa kuwa bado waliendelea kufanya biashara na kukopa zaid mil 164 kwa ajili ya kununua POS na kwamba kampuni hiyo ina Matawi nchi jirani.

Mahakama imeamuru Mali iliyomo Mbezi Beach ipigwe mnada miez mitatu kutoka sasa wakishindwa kulipa deni hilo.

Kinachovutia kwenye case hii ni namna mtu unaweza anzisha kampuni na ikajiendesha kwa kutegemea serikali pekee..... yani serikal ya Tanzania kama mteja muhim na unaomba loans ya Dola zaid ya mil 5.

Chanzo: Citizen 24/04/2023.

Poleni sana wakuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230424-195748_Chrome.jpg
    Screenshot_20230424-195748_Chrome.jpg
    145.3 KB · Views: 12
Kwa waliofanya tenda na Serikali wanajua sana machungu ya kufuatilia malipo yako,

Hasa Kama ulifanya biashara na utawala uliopita na utawala uliopo unanongwa na utawala uliopita.

Yaani kila tenda wanajifanya ilikuwa ya kipigaji, yote TU wakutaftie sababu wasikulipe na benki unadaiwa mkopo.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wanaokumbuka kabla ya 2015 hivi. Hii kampuni ilitamba sana bongo na kuwezesha malipo ya serikali, wakuitwa MaxMalipo...

Story yao kwa sasa inasikitisha kidogo, baada ya bank ya Stanbic kuiburuza mahakamani wakidai walipwe malimbikizo ya deni la Bil 12.

Mahakamani walijitetea kwamba baada ya serikal kuwa na mfumo wao wa malipo na kupoteza tenda zote serikalini ikiwepo Tanesco, BRT nk.. wamekwama.

Hata hivo mahakama ilitupilia mbal madai yao, kwa kuwa bado waliendelea kufanya biashara na kukopa zaid mil 164 kwa ajili ya kununua POS na kwamba kampuni hiyo ina Matawi nchi jirani.

Mahakama imeamuru Mali iliyomo mbezi Beach ipigwe mnada miez mitatu kutoka sasa wakishindwa kulipa deni hilo.

Kinachovutia kwenye case hii ni namna mtu unaweza anzisha kampuni na ikajiendesha kwa kutegemea serikali pekee..... yani serikal ya Tanzania kama mteja muhim na unaomba loans ya Dola zaid ya mil 5.

Chanzo: Citizen 24/04/2023.

Poleni sana wakuu.
Huu uzi maskini tutajazana na kufurahia mno mno.. Kama tunauaga umaskini
 
Kwa wanaokumbuka kabla ya 2015 hivi. Hii kampuni ilitamba sana bongo na kuwezesha malipo ya serikali, wakuitwa MaxMalipo...

Story yao kwa sasa inasikitisha kidogo, baada ya bank ya Stanbic kuiburuza mahakamani wakidai walipwe malimbikizo ya deni la Bil 12.

Mahakamani walijitetea kwamba baada ya serikal kuwa na mfumo wao wa malipo na kupoteza tenda zote serikalini ikiwepo Tanesco, BRT nk.. wamekwama.

Hata hivo mahakama ilitupilia mbal madai yao, kwa kuwa bado waliendelea kufanya biashara na kukopa zaid mil 164 kwa ajili ya kununua POS na kwamba kampuni hiyo ina Matawi nchi jirani.

Mahakama imeamuru Mali iliyomo mbezi Beach ipigwe mnada miez mitatu kutoka sasa wakishindwa kulipa deni hilo.

Kinachovutia kwenye case hii ni namna mtu unaweza anzisha kampuni na ikajiendesha kwa kutegemea serikali pekee..... yani serikal ya Tanzania kama mteja muhim na unaomba loans ya Dola zaid ya mil 5.

Chanzo: Citizen 24/04/2023.

Poleni sana wakuu.
Chuki za watu ndani ya Serikali ni sumu mbaya ya maendeleo ya nchi
 
Wanalipwa wageni..makampuni ya kigeni ndio wanalipwa fasta. Maana serikali inayaogopa.

Ila wazawa huwa hawalipwi bila kuzungushwa sana na usumbufu mwingi na kuzulumiwa
Ndo maana wengi huacha miradi maana wanakuwa wametumia pesa zao ila kazi hailipiwi
 
Back
Top Bottom