HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Basi nawakwepa mno, hata mtu akileta idea ya hilo swala namfukuzia mbaliUsiombe, trust me...usiombe kufanya kazi na hao jamaa. Watu wana mioyo migumu tu ila kazi za serikali ni kichomi kuliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi nawakwepa mno, hata mtu akileta idea ya hilo swala namfukuzia mbaliUsiombe, trust me...usiombe kufanya kazi na hao jamaa. Watu wana mioyo migumu tu ila kazi za serikali ni kichomi kuliko.
Pole sana masikini, Ila ndio hivyo utafirahi leo kesho ikiamka bado uko vie vie masikini tuHuu uzi maskini tutajazana na kufurahia mno mno..kama tunauaga umaskini
Nimekaribia kunywa sumu kipindi fulani,wacha tu!!Kwa waliofanya tenda na serikali wanajua sana machungu ya kufuatilia malipo yako,
Hasa Kama ulifanya biashara na utawala uliopita, na utawala uliopo una nongwa na utawala uliopita.
Yaani kila tenda wanajifanya ilikua ya kipigaji, yote TU wakutaftie sababu wasikulipe na benki unadaiwa mkopo[emoji3525]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
UmemalizaHamna biashara ngumu
Kama Kufanya biashara na serikali
Ukipata tenda serikalini usishangilie,
Kilio chake Ni suala la muda tu[emoji26]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huzuni sana inasikitisha sana, sasa nao ni kwanin wasiishtaki Serikali na wao ili kusudi walipwe mabillion wanayoidai Serikali, wanaogopa nini?Hawa jamaa wanafilisika wakiwa wanaidai serikali pesa nyng Sana na hamna hata dalili ya kulipwa na utawala uliopo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeukumbuka ule uzi wako.😂😂Hamna biashara ngumu
Kama Kufanya biashara na serikali
Ukipata tenda serikalini usishangilie,
Kilio chake Ni suala la muda tu[emoji26]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama walitumia njia ya mkato kidogo ndio kinakua kizuiziHuzuni sana inasikitisha sana, sasa nao ni kwanin wasiishtaki Serikali na wao ili kusudi walipwe mabillion wanayoidai Serikali, wanaogopa nini?
Hapa Hakim Principal ndipo inahitajika kutumika(joke nikiwa na uchungu mtanzania kuwa katika wakati mgumu wakati njia ya kumuwezesha ipo )Kwasisi ambao ndio kwanza tunapambana kukuza biasharq za kampuni zetu hiz hapa tunalo la kujifunza.All in all biashara ni vita
Ukipigw huku usikae kulia lia tu..angalia namna nyingine ya kujichomoa
AsantePole sana masikini, Ila ndio hivyo utafirahi leo kesho ikiamka bado uko vie vie masikini tu
Njia ya Mkato kivipi emu fafanua hapo mkuu,Kama walitumia njia ya mkato kidogo ndio kinakua kizuizi
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wanalipwa ila kwa taabu sana ...anko wangu amefariki iv karibuni kwa mshtuko wa moyo chanzo ni madeni kumzidia huku serikali nayo kugoma kumlipa licha ya kuwadai millions of shillingsMbona Wajenzi wa Barabara wanalipwa
Kwanini hakukamata mali zao ie magari, ndege?Wanalipwa ila kwa taabu sana ...anko wangu amefariki iv karibuni kwa mshtuko wa moyo chanzo ni madeni kumzidia huku serikali nayo kugoma kumlipa licha ya kuwadai millions of shillings
Sio tu tenda , yani hata usifungue biashara kisa serikali imeweka miundo mbinu , kama stend, masoko n.k , yaan mda wowote unalia na kusaga meno,Hamna biashara ngumu kama kufanya biashara na Serikali. Ukipata tenda Serikalini usishangilie, kilio chake Ni suala la muda tu.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi binadamu mwenye nguvu na akili timamu unaishije bila kazi - mmelogwaHii kampuni iliajiri watu wengi sana sijui walienda wapi wale watu na wana hali gani kiuchumi maana kuishi bila kazi ni changamoto.
Nina ndugu yangu analia hadi leo shauri ya kufanya kazi na serikali.Kimsingi sio kwamba serikali inashida ya kutapeli watu au haina uwezo wa kukulipa.Shida ni pale kila kitu serikalini kinakwenda kwa kuzingatia milolongo ya kiitifaki.Serikalini hata ukiidai laki 2 lazima habari hii ipitie hatua zote ikibidi hata bunge ili hiyo laki mbili iingizwe kwenye budget.Kwa waliofanya tenda na Serikali wanajua sana machungu ya kufuatilia malipo yako,
Hasa Kama ulifanya biashara na utawala uliopita na utawala uliopo unanongwa na utawala uliopita.
Yaani kila tenda wanajifanya ilikuwa ya kipigaji, yote TU wakutaftie sababu wasikulipe na benki unadaiwa mkopo.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna mhindi bilionea hapo Kenya Niliona interview yake akisema rule no. 1 ya kwake Ni kutofanya biashara na serikali.Hamna biashara ngumu kama kufanya biashara na Serikali. Ukipata tenda Serikalini usishangilie, kilio chake Ni suala la muda tu.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
KabisaKinachovutia kwenye case hii ni namna mtu unaweza anzisha kampuni na ikajiendesha kwa kutegemea serikali pekee..... yani serikal ya Tanzania kama mteja muhim na unaomba loans ya Dola zaid ya mil 5.[emoji2827]