Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

wewe mburura, maana ya sex walivyoongea hapo ni jinsia, mwanaume na mwanamke. sexual orientation ndio ushoga na haipo kwenye hiyo document. Tanzania haijawahi kukubali mkataba wowote unaosapoti mashoga.
Ndio maana wewe ni kilaza. Wamesema sehemu ya "sexual orientation " inapatikana chini ya "other status" au "sex". Kwa ukilaza wako unadhani huo ukurasa ndio document yote. Na mkataba unaosapoti mashoga ukoje?
Unanipotezea muda tu.

Amandla...
 
Kuwa na staha katika kumuongelea Mheshimiwa.
 
Yule kijana keshaangamia [emoji26]
Tulikuwa slipway na mrembo night tukifurahia weekend tukamuona kamuinamia muhuni mmoja kwenye kona kama sio mwarabu basi mhindi mwenzie katikati ya mapaja huku kapiga magoti kwa namna alivyokuwa busy kuchezesha kichwa nadhani alikuwa anamnyonya yule mhuni, sikuamini ule ufirauni nilipigwa na butwaa.
 
Nashauri serikali iongeze kasi ya kuwapima wale wote wanaohisiwa kuwa ni mshoga aka mapunga. Pamoja na miaka 30 wapewe na kazi ngumu. Vinginevyo hatutakuwa na familia wala uzao huko tuendako.Serikali toeni link tuwape majina wapo kibao huku kitaa na vipensi vyao wanatembea kama senta bolti ya Isuzu imekatika.
 
Ukisikia udhalilishaji sasa ndo huu

Kwani ilikuwa je mpaka kufikia haya

Aibu naona mimi.
Usione aibu askari wote lazima wabong'oe na kukohoa huku daktari akitizama.

Hio ipo hadi magerezani.
 
Exactly maana wao ndio wameleta huu ULIWATWI/USHOGA/UBASHA hawa Viumbe wana laana ya Peke yao[emoji3525][emoji3525][emoji3525]

WANAUME ni viumbe wa ajabu mno
Feminists mna tabu Sana.

Wanaume wakifutika mkibaki wenyewe mtaanza kusagana mtarudi kule kule kwenye ushoga.

Ukishakuwa feminist na akili hupotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…