LGE2024 Mahakama yaipa Ruhusa TAMISEMI kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Mahakama yaipa Ruhusa TAMISEMI kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nchi wasomi wapo ila hawaelewi!
Nchi ni Moja ila Kuna taasisi mbili za kusimamia uchaguzi.
 
Mahakama hizi ambazo zinapigiwa simu na mama yezebeli haziwezi kutenda haki hata siku moja.zitaamua kulingana na anavyopenda yezebeli
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambapo Watanzania hao walikuwa wanapinga Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Shauri hilo ambalo lilitajwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutolewa maamuzi kufuatia mapingamizi matatu (3) yaliyokuwa yamewekwa na Jamhuri, ambapo kwa mujibu wa Jaji David Ngunyale aliyelikuwa anasikiliza pingamizi hilo ameyataja mapingamizi hayo kutokuwa na nguvu ya moja kwa moja ya kuishawishi Mahakama kufanya maamuzi hatua iliyoilazimu Mahakama kujielekeza kwenye shauri la msingi

Amesema katika kuliangalia shauri hilo, Mahakama ilianza kuangalia endapo mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI ana mamlaka ya kuandaa kanuni zinazomuongoza kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Amesema Mahakama iliangali kama kuna matumizi mabaya ya mamlaka kutoka kwa Waziri huyo, ambapo awali waleta maombi waliishinikiza Mahakama kwa kueleza kwamba mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kumuwezesha kutunga kanuni za uchaguzi huo

Katika ushawishi wao, upande wa waleta maombi waliileza Mahakama hiyo kuwa mjibu maombi wa kwanza anakosa sifa kwa kuwa yeye ni mwanasiasa, Waziri, na kwamba moja kwa moja ana maslahi ya uchaguzi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala hivyo haikubaliki kuona mtu wa aina yake anakuwa msimamizi wa uchaguzi

Imeelezwa kuwa, hoja hizo zilipingwa vikali na upande wa Jamhuri ambao katika utetezi wake walisema kuwa Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI hawezi kusababisha mgongano wa maslahi kwa kuwa anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na si utashi wake, jambo ambalo limekubalika na Mahakama

Aidha, Jaji Ngunyale amesema viko vifungu kadhaa vya kisherie vinavyompa mamlaka Waziri kutengeneza kanuni hizo za uchaguzi, na kwamba suala la kudai kuwa ataendesha zoezi hilo na kusababisha mgongano wa maslahi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala ni la kihisia, lisilokuwa na uthibitisho kamili na kwamba Mahakama hiyo haiwezi kufanya maamuzi ya kihisia ikizingatiwa kuwa kwa sasa Waziri kuna vifungu vinamruhusu kufanya hivyo ikiwemo kifungu cha 201(a) cha mamlaka za serikali za mitaa

Ameendelea kufafanua kuwa, kama tatizo linaanzia kwenye sheria hilo ni jambo lingine, na kwamba anaamini ndio maana mwananchi aitwaye Wallace Mayunga ameamua kufungua shauri la Kikatiba akihoji suala hilo huku akitambua kwa sasa Waziri analindwa na sheria katika majukumu yake

Kuhusu hoja ya kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa ndio chombo kinachopaswa kusimamia uchaguzi huo, Mahakama imeeleza kukubaliana na hoja za upande wa Jamhuri kuwa INEC itakuwa huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa endapo itatungwa sheria rasmi na Bunge itakayoipa mamlaka hayo, lakini kwa sasa hakuna sheria hiyo badala yake sheria iliyotungwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ilieleza kuwa INEC itatekeleza jukumu hilo kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bungea, sheria ambayo haijatungwa, na kwamba si kweli kuwa sheria mpya inapotungwa basi sheria ya awali inafutika moja kwa moja badala yake upo utaratibu uliowekwa nchini wa kisheria wa jinsi kufutwa kwa sheria

Amesema Mahakama haiwezi kuwekea maneno Bunge kwa kuwa inaamini kwamba Bunge halisahau na linafahamu wakati linapitisha sheria mpya kuwa kuna sheria ya zamani ambayo pia haijafutwa na hivyo ndio maana kwenye maelezo ya sheria mpya likaweka kipengele kuwa INEC itafanya kazi kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bunge...

Chanzo cha habari hii ni jambo TV

Pia, soma:
Katiba mpya itakayoweka mipaka sahihi ya hii mihimili ndiyo solution kwenye hii nchi.
 
Tanzania hatuna Mahakama wala Bunge. Kinachoitwa Mahakama au Bunge ni idara tu za ikulu. Kabla hawajafanya uamuzi wowote ni lazima waiulize ikulu, waamue namna gani!! Rostam alifafanua wazi kabisa.

Hiyo hukumu ina maana ndiyo maelekezo ya ikulu.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambapo Watanzania hao walikuwa wanapinga Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Shauri hilo ambalo lilitajwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutolewa maamuzi kufuatia mapingamizi matatu (3) yaliyokuwa yamewekwa na Jamhuri, ambapo kwa mujibu wa Jaji David Ngunyale aliyelikuwa anasikiliza pingamizi hilo ameyataja mapingamizi hayo kutokuwa na nguvu ya moja kwa moja ya kuishawishi Mahakama kufanya maamuzi hatua iliyoilazimu Mahakama kujielekeza kwenye shauri la msingi

Amesema katika kuliangalia shauri hilo, Mahakama ilianza kuangalia endapo mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI ana mamlaka ya kuandaa kanuni zinazomuongoza kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Amesema Mahakama iliangali kama kuna matumizi mabaya ya mamlaka kutoka kwa Waziri huyo, ambapo awali waleta maombi waliishinikiza Mahakama kwa kueleza kwamba mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kumuwezesha kutunga kanuni za uchaguzi huo

Katika ushawishi wao, upande wa waleta maombi waliileza Mahakama hiyo kuwa mjibu maombi wa kwanza anakosa sifa kwa kuwa yeye ni mwanasiasa, Waziri, na kwamba moja kwa moja ana maslahi ya uchaguzi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala hivyo haikubaliki kuona mtu wa aina yake anakuwa msimamizi wa uchaguzi

Imeelezwa kuwa, hoja hizo zilipingwa vikali na upande wa Jamhuri ambao katika utetezi wake walisema kuwa Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI hawezi kusababisha mgongano wa maslahi kwa kuwa anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na si utashi wake, jambo ambalo limekubalika na Mahakama

Aidha, Jaji Ngunyale amesema viko vifungu kadhaa vya kisherie vinavyompa mamlaka Waziri kutengeneza kanuni hizo za uchaguzi, na kwamba suala la kudai kuwa ataendesha zoezi hilo na kusababisha mgongano wa maslahi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala ni la kihisia, lisilokuwa na uthibitisho kamili na kwamba Mahakama hiyo haiwezi kufanya maamuzi ya kihisia ikizingatiwa kuwa kwa sasa Waziri kuna vifungu vinamruhusu kufanya hivyo ikiwemo kifungu cha 201(a) cha mamlaka za serikali za mitaa

Ameendelea kufafanua kuwa, kama tatizo linaanzia kwenye sheria hilo ni jambo lingine, na kwamba anaamini ndio maana mwananchi aitwaye Wallace Mayunga ameamua kufungua shauri la Kikatiba akihoji suala hilo huku akitambua kwa sasa Waziri analindwa na sheria katika majukumu yake

Kuhusu hoja ya kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa ndio chombo kinachopaswa kusimamia uchaguzi huo, Mahakama imeeleza kukubaliana na hoja za upande wa Jamhuri kuwa INEC itakuwa huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa endapo itatungwa sheria rasmi na Bunge itakayoipa mamlaka hayo, lakini kwa sasa hakuna sheria hiyo badala yake sheria iliyotungwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ilieleza kuwa INEC itatekeleza jukumu hilo kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bungea, sheria ambayo haijatungwa, na kwamba si kweli kuwa sheria mpya inapotungwa basi sheria ya awali inafutika moja kwa moja badala yake upo utaratibu uliowekwa nchini wa kisheria wa jinsi kufutwa kwa sheria

Amesema Mahakama haiwezi kuwekea maneno Bunge kwa kuwa inaamini kwamba Bunge halisahau na linafahamu wakati linapitisha sheria mpya kuwa kuna sheria ya zamani ambayo pia haijafutwa na hivyo ndio maana kwenye maelezo ya sheria mpya likaweka kipengele kuwa INEC itafanya kazi kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bunge...

Chanzo cha habari hii ni jambo TV

Pia, soma:
Nchi hii hakuna mahakama bali genge la wajumbe wa CCM mahakamani!
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambapo Watanzania hao walikuwa wanapinga Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Shauri hilo ambalo lilitajwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutolewa maamuzi kufuatia mapingamizi matatu (3) yaliyokuwa yamewekwa na Jamhuri, ambapo kwa mujibu wa Jaji David Ngunyale aliyelikuwa anasikiliza pingamizi hilo ameyataja mapingamizi hayo kutokuwa na nguvu ya moja kwa moja ya kuishawishi Mahakama kufanya maamuzi hatua iliyoilazimu Mahakama kujielekeza kwenye shauri la msingi

Amesema katika kuliangalia shauri hilo, Mahakama ilianza kuangalia endapo mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI ana mamlaka ya kuandaa kanuni zinazomuongoza kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Amesema Mahakama iliangali kama kuna matumizi mabaya ya mamlaka kutoka kwa Waziri huyo, ambapo awali waleta maombi waliishinikiza Mahakama kwa kueleza kwamba mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kumuwezesha kutunga kanuni za uchaguzi huo

Katika ushawishi wao, upande wa waleta maombi waliileza Mahakama hiyo kuwa mjibu maombi wa kwanza anakosa sifa kwa kuwa yeye ni mwanasiasa, Waziri, na kwamba moja kwa moja ana maslahi ya uchaguzi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala hivyo haikubaliki kuona mtu wa aina yake anakuwa msimamizi wa uchaguzi

Imeelezwa kuwa, hoja hizo zilipingwa vikali na upande wa Jamhuri ambao katika utetezi wake walisema kuwa Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI hawezi kusababisha mgongano wa maslahi kwa kuwa anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na si utashi wake, jambo ambalo limekubalika na Mahakama

Aidha, Jaji Ngunyale amesema viko vifungu kadhaa vya kisherie vinavyompa mamlaka Waziri kutengeneza kanuni hizo za uchaguzi, na kwamba suala la kudai kuwa ataendesha zoezi hilo na kusababisha mgongano wa maslahi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala ni la kihisia, lisilokuwa na uthibitisho kamili na kwamba Mahakama hiyo haiwezi kufanya maamuzi ya kihisia ikizingatiwa kuwa kwa sasa Waziri kuna vifungu vinamruhusu kufanya hivyo ikiwemo kifungu cha 201(a) cha mamlaka za serikali za mitaa

Ameendelea kufafanua kuwa, kama tatizo linaanzia kwenye sheria hilo ni jambo lingine, na kwamba anaamini ndio maana mwananchi aitwaye Wallace Mayunga ameamua kufungua shauri la Kikatiba akihoji suala hilo huku akitambua kwa sasa Waziri analindwa na sheria katika majukumu yake

Kuhusu hoja ya kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa ndio chombo kinachopaswa kusimamia uchaguzi huo, Mahakama imeeleza kukubaliana na hoja za upande wa Jamhuri kuwa INEC itakuwa huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa endapo itatungwa sheria rasmi na Bunge itakayoipa mamlaka hayo, lakini kwa sasa hakuna sheria hiyo badala yake sheria iliyotungwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ilieleza kuwa INEC itatekeleza jukumu hilo kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bungea, sheria ambayo haijatungwa, na kwamba si kweli kuwa sheria mpya inapotungwa basi sheria ya awali inafutika moja kwa moja badala yake upo utaratibu uliowekwa nchini wa kisheria wa jinsi kufutwa kwa sheria

Amesema Mahakama haiwezi kuwekea maneno Bunge kwa kuwa inaamini kwamba Bunge halisahau na linafahamu wakati linapitisha sheria mpya kuwa kuna sheria ya zamani ambayo pia haijafutwa na hivyo ndio maana kwenye maelezo ya sheria mpya likaweka kipengele kuwa INEC itafanya kazi kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bunge...

Chanzo cha habari hii ni jambo TV

Pia, soma:
tunashukuru majibu yamekuja kama tulivyotegemea mahakama imetenda haki,vinginevyo wangepiga hatua kubwa sana kama muhimili unaojitegemea
 
Kwa maoni yangu mahakama imetoa maamuzi kutokana na vipengele vya sheria na jaji amekiri wazi kwamba wao hawafuati hisia,wengi wenu hapa mmetumia hisia kuinyooshea mahakama kidole lkn kiuhalisia imeeleza hoja wazi wazi.

Na ikaenda mbele zaidi kwamba kuna huyo mwamba mmoja ambaye anajielewa,yeye kwakujua katiba ndio msingi mama wa sheria za hapa nchini amefungua kesi ya kikatiba,kwa maana katiba irekebishwe kupitia hivyo vifungu

Je kosa la majaji liko wapi?

Pili kwa.mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge waziri wa Tamisemi kimamlaka anawajibika kudili na sheria au kanuni za uchaguzi,je mwenye kosa hapo ni nani,je ni mahakama? Bunge au waziri wa Tamisemi?

Tuache ujinga wa kutoa lawama badala yake tuangalie uhalisia
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambapo Watanzania hao walikuwa wanapinga Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Shauri hilo ambalo lilitajwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutolewa maamuzi kufuatia mapingamizi matatu (3) yaliyokuwa yamewekwa na Jamhuri, ambapo kwa mujibu wa Jaji David Ngunyale aliyelikuwa anasikiliza pingamizi hilo ameyataja mapingamizi hayo kutokuwa na nguvu ya moja kwa moja ya kuishawishi Mahakama kufanya maamuzi hatua iliyoilazimu Mahakama kujielekeza kwenye shauri la msingi

Amesema katika kuliangalia shauri hilo, Mahakama ilianza kuangalia endapo mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI ana mamlaka ya kuandaa kanuni zinazomuongoza kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Amesema Mahakama iliangali kama kuna matumizi mabaya ya mamlaka kutoka kwa Waziri huyo, ambapo awali waleta maombi waliishinikiza Mahakama kwa kueleza kwamba mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kumuwezesha kutunga kanuni za uchaguzi huo

Katika ushawishi wao, upande wa waleta maombi waliileza Mahakama hiyo kuwa mjibu maombi wa kwanza anakosa sifa kwa kuwa yeye ni mwanasiasa, Waziri, na kwamba moja kwa moja ana maslahi ya uchaguzi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala hivyo haikubaliki kuona mtu wa aina yake anakuwa msimamizi wa uchaguzi

Imeelezwa kuwa, hoja hizo zilipingwa vikali na upande wa Jamhuri ambao katika utetezi wake walisema kuwa Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI hawezi kusababisha mgongano wa maslahi kwa kuwa anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na si utashi wake, jambo ambalo limekubalika na Mahakama

Aidha, Jaji Ngunyale amesema viko vifungu kadhaa vya kisherie vinavyompa mamlaka Waziri kutengeneza kanuni hizo za uchaguzi, na kwamba suala la kudai kuwa ataendesha zoezi hilo na kusababisha mgongano wa maslahi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala ni la kihisia, lisilokuwa na uthibitisho kamili na kwamba Mahakama hiyo haiwezi kufanya maamuzi ya kihisia ikizingatiwa kuwa kwa sasa Waziri kuna vifungu vinamruhusu kufanya hivyo ikiwemo kifungu cha 201(a) cha mamlaka za serikali za mitaa

Ameendelea kufafanua kuwa, kama tatizo linaanzia kwenye sheria hilo ni jambo lingine, na kwamba anaamini ndio maana mwananchi aitwaye Wallace Mayunga ameamua kufungua shauri la Kikatiba akihoji suala hilo huku akitambua kwa sasa Waziri analindwa na sheria katika majukumu yake

Kuhusu hoja ya kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa ndio chombo kinachopaswa kusimamia uchaguzi huo, Mahakama imeeleza kukubaliana na hoja za upande wa Jamhuri kuwa INEC itakuwa huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa endapo itatungwa sheria rasmi na Bunge itakayoipa mamlaka hayo, lakini kwa sasa hakuna sheria hiyo badala yake sheria iliyotungwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ilieleza kuwa INEC itatekeleza jukumu hilo kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bungea, sheria ambayo haijatungwa, na kwamba si kweli kuwa sheria mpya inapotungwa basi sheria ya awali inafutika moja kwa moja badala yake upo utaratibu uliowekwa nchini wa kisheria wa jinsi kufutwa kwa sheria

Amesema Mahakama haiwezi kuwekea maneno Bunge kwa kuwa inaamini kwamba Bunge halisahau na linafahamu wakati linapitisha sheria mpya kuwa kuna sheria ya zamani ambayo pia haijafutwa na hivyo ndio maana kwenye maelezo ya sheria mpya likaweka kipengele kuwa INEC itafanya kazi kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bunge...

Chanzo cha habari hii ni jambo TV

Pia, soma:
Hiyo ilikuwa wazi, wanasheria walikuwa wanaweka tu Kumbukumbu sawa.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambapo Watanzania hao walikuwa wanapinga Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Shauri hilo ambalo lilitajwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kutolewa maamuzi kufuatia mapingamizi matatu (3) yaliyokuwa yamewekwa na Jamhuri, ambapo kwa mujibu wa Jaji David Ngunyale aliyelikuwa anasikiliza pingamizi hilo ameyataja mapingamizi hayo kutokuwa na nguvu ya moja kwa moja ya kuishawishi Mahakama kufanya maamuzi hatua iliyoilazimu Mahakama kujielekeza kwenye shauri la msingi

Amesema katika kuliangalia shauri hilo, Mahakama ilianza kuangalia endapo mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI ana mamlaka ya kuandaa kanuni zinazomuongoza kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Amesema Mahakama iliangali kama kuna matumizi mabaya ya mamlaka kutoka kwa Waziri huyo, ambapo awali waleta maombi waliishinikiza Mahakama kwa kueleza kwamba mjibu maombi wa kwanza ambaye ni Waziri hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kumuwezesha kutunga kanuni za uchaguzi huo

Katika ushawishi wao, upande wa waleta maombi waliileza Mahakama hiyo kuwa mjibu maombi wa kwanza anakosa sifa kwa kuwa yeye ni mwanasiasa, Waziri, na kwamba moja kwa moja ana maslahi ya uchaguzi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala hivyo haikubaliki kuona mtu wa aina yake anakuwa msimamizi wa uchaguzi

Imeelezwa kuwa, hoja hizo zilipingwa vikali na upande wa Jamhuri ambao katika utetezi wake walisema kuwa Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI hawezi kusababisha mgongano wa maslahi kwa kuwa anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na si utashi wake, jambo ambalo limekubalika na Mahakama

Aidha, Jaji Ngunyale amesema viko vifungu kadhaa vya kisherie vinavyompa mamlaka Waziri kutengeneza kanuni hizo za uchaguzi, na kwamba suala la kudai kuwa ataendesha zoezi hilo na kusababisha mgongano wa maslahi kutokana na kwamba anatoka kwenye chama tawala ni la kihisia, lisilokuwa na uthibitisho kamili na kwamba Mahakama hiyo haiwezi kufanya maamuzi ya kihisia ikizingatiwa kuwa kwa sasa Waziri kuna vifungu vinamruhusu kufanya hivyo ikiwemo kifungu cha 201(a) cha mamlaka za serikali za mitaa

Ameendelea kufafanua kuwa, kama tatizo linaanzia kwenye sheria hilo ni jambo lingine, na kwamba anaamini ndio maana mwananchi aitwaye Wallace Mayunga ameamua kufungua shauri la Kikatiba akihoji suala hilo huku akitambua kwa sasa Waziri analindwa na sheria katika majukumu yake

Kuhusu hoja ya kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa ndio chombo kinachopaswa kusimamia uchaguzi huo, Mahakama imeeleza kukubaliana na hoja za upande wa Jamhuri kuwa INEC itakuwa huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa endapo itatungwa sheria rasmi na Bunge itakayoipa mamlaka hayo, lakini kwa sasa hakuna sheria hiyo badala yake sheria iliyotungwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ilieleza kuwa INEC itatekeleza jukumu hilo kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bungea, sheria ambayo haijatungwa, na kwamba si kweli kuwa sheria mpya inapotungwa basi sheria ya awali inafutika moja kwa moja badala yake upo utaratibu uliowekwa nchini wa kisheria wa jinsi kufutwa kwa sheria

Amesema Mahakama haiwezi kuwekea maneno Bunge kwa kuwa inaamini kwamba Bunge halisahau na linafahamu wakati linapitisha sheria mpya kuwa kuna sheria ya zamani ambayo pia haijafutwa na hivyo ndio maana kwenye maelezo ya sheria mpya likaweka kipengele kuwa INEC itafanya kazi kwa kufuata sheria itakayotungwa na Bunge...

Chanzo cha habari hii ni jambo TV

Pia, soma:
Tulishaambiwa na fisadi Rostam kuwa mahakama zetu hupokea maelekezo kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala walioko ikulu
 
Tulishaambiwana fisadi Rostam kubwa mahakama zetu hupokea maelekezo kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala walioko ikulu
Sasa huwa mnapeleka pua zenu mahakamani kutafuta nini? Mmkaz yenu ni kulalamika lalamika hovyo hovyo tu
 
Mahakama ingeenda kinyume na serikali ningejinyea siku 4 mfululizo bila kupumzika, tuna mahakama ya hovyo kabisa hata shetani ana nafuu
 
Back
Top Bottom