Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Oct 29, 2024 #61 Samvurah said: Sahihi kabisa!!Mimi sikuzote huwa na shangaa CHADEMA na wanaharakati wengine kwenda mahakamani ni kosa kubwa .ULOZI NDIYO SOLUTION Click to expand... Hawa dawa yao ni kuwaendelea Sumbawanga na Njombe shughuli inaisha
Samvurah said: Sahihi kabisa!!Mimi sikuzote huwa na shangaa CHADEMA na wanaharakati wengine kwenda mahakamani ni kosa kubwa .ULOZI NDIYO SOLUTION Click to expand... Hawa dawa yao ni kuwaendelea Sumbawanga na Njombe shughuli inaisha
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Oct 29, 2024 #62 Gulwa said: Tulishaambiwana fisadi Rostam kubwa mahakama zetu hupokea maelekezo kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala walioko ikulu Click to expand... Sahihi kabisa hatuna mahakama ni aibu tupu
Gulwa said: Tulishaambiwana fisadi Rostam kubwa mahakama zetu hupokea maelekezo kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala walioko ikulu Click to expand... Sahihi kabisa hatuna mahakama ni aibu tupu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Oct 29, 2024 #63 mmaroroi said: Hiyo ilikuwa wazi, wanasheria walikuwa wanaweka tu Kumbukumbu sawa. Click to expand... Mahakama zimejaa rushwa na maelekezo. Hovyo kabisa
mmaroroi said: Hiyo ilikuwa wazi, wanasheria walikuwa wanaweka tu Kumbukumbu sawa. Click to expand... Mahakama zimejaa rushwa na maelekezo. Hovyo kabisa
erasto Samwel Member Joined Sep 10, 2024 Posts 78 Reaction score 91 Oct 29, 2024 #64 Ni maelekezo Mahakama inapokea kutoka kuleee👉nakuyatoa