Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni


Ha ha ha ha. Mwishon mwa para imeniacha hoi. Eti haki haina weekend, ni pale tu Mahakama inapojisikia kuwa leo haki itafutwe weekend!? Kama jibu ni hilo hapo kuna Double Standard!
 
Mahakama ni kati ya taasisi mbili zinazoongoza kwa rushwa Tanzania. Nyingine ni Polisi. Na hiyo ni kwa mara ya tatu mfululizo.
 
Ha ha ha ha. Mwishon mwa para imeniacha hoi. Eti haki haina weekend, ni pale tu Mahakama inapojisikia kuwa leo haki itafutwe weekend!? Kama jibu ni hilo hapo kuna Double Standard!

mkuu kwani hujui kuwa nchi hii double standard ndo zinazoendesha maswala yote tete ya serikali?

kumbuka Bunge maalumu la katiba na kesi zilizokuwa mahakamani, (hapa Bunge maalumu halikujali kesi hizo zilizokuwa mahakani).

Juzi walipima upepo kuwa kuna barua imekuja bungeni toka mahakamani juu ya IPTL**

Lowassa alijiuzulu kama waziri mkuu na kutowajibika sawasawa kama msimamizi wa shughuli za serikali (Richmond)

Leo wanataka kumuokoa PINDA asijiuzulu!!!
 
Mahakama waongo kwanini wanakana leo, walikua wapi muda wote, wameichomoa barua wameona wataumbuka.
 

Pengine nayo mahakama ya rufaa imeshtushwa jinsi ukweli unavyozidi kutokeza kiasi cha kuamua kupitia hiyo hukumu ya mahakama kuu kwa lengo la kuwachukulia hatua za nidhamu za kimahakama wahusika.
 
Yaani masuala ya msingi kama haya wewe unasema ni tamrhiliya ya kusisimua!

Hawa jamaa wanafanya psychological propaganda. Si barua wala substance ya hiyo report waliyonayo hao kina mbatia. Wanabwabwaja tu kutaka kura za serikali za mitaa.

Watuambie escrow ni kitu gani kisha waweke unafiki pembeni waseme je kama hiyo hela ingechukuliwa na standard chartered ingekua ya umma au ya standard chartered? Tuache ukuward wa wamangimeza let's argue critically.

Hii issue sioni tofauti name dowans. Hao standared chartered wamefungua kesi ngapi on the matter? Na hazijaisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…