mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 365
- 1,050
Ungejua aliyokuwa ananifanyia na ulicho-comment hapo UNGEFUTA mara moja,na kama ningeendelea kuishi nae hakika ningekuwa natumikia Kifungo Jela, yule si Mama yangu wala damu ya ukoo wetu, hakukuwa na nafasi ya kumtengezea hayo mazingira mazuri unayoyamaanishaDaah roho mbaya tu hiyo na Umasikini upo kwenye damu kwani ungemtengenezea mazingira mazuri ya yeye kuendelea kuishi ungepungukiwa nini unahadithia kuchukua gari aisee...
Kesi imeisha hiyo,hapo dokta anapewa mlungura, anasema upo crazy unapelekwa sober house!! Miaka, mitatu wa bongo wameisha sahau,unarudi zako hm kula bata.
Hapo sawaMimi nilivyoona Mke hatuelewanj na kila mtu analala chumba chake,halafu bado haridhiki anaendelea kunifanyia visa kila kukicha alarm ikalia kichwani kwamba kuna kitu kinakuja kutokea,nilitegea kaenda kazini na basi la kazini kwao(alikuwa Private Sector),nikawasha gari niliyomnunulia na yangu nikaenda kuzificha sehemu,nikarudi na Canter nikabeba vitu vyangu nilivyoona vya maana nikaondoka zangu na kwenda kupanga(kumbuka hapo tulikuwa tunaishi nyumba ya Serikali ninakofanya kazi),ofisini nikawaambia wachukue nyumba yao wasinikate kwenye Mshahara nimehamia kwangu[emoji1787]aliachia nyumba bila kupenda,huu ni mwaka wa 12 sasa naishi vizuri bila kelele
mkuu huyo mwanamke hukuzaa naye.....nimeipenda style yakoo hekooo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ingekuwa ni rahisi kwamba ukiigiza ukichaa unashinda Kesi basi Mirembe wangejaa watuhumiwa
Alikuwa anakuchit nn?Ungejua aliyokuwa ananifanyia na ulicho-comment hapo UNGEFUTA mara moja,na kama ningeendelea kuishi nae hakika ningekuwa natumikia Kifungo Jela, yule si Mama yangu wala damu ya ukoo wetu, hakukuwa na nafasi ya kumtengezea hayo mazingira mazuri unayoyamaanisha
Jamaa kasepa kamuacha kama alivomkuta.mkuu huyo mwanamke hukuzaa naye.....nimeipenda style yakoo hekooo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Huyo mtuhumiwa atakuwa anajifanyisha tu. Na kama ni kuchanganyikiwa, basi ni baada ya hayo mauaji. Ila kabla ya hapo, viashiria vyote vinamuonesha alikuwa na akili timamu.Mawakili wetu bwana,yaani mtu achukue gunia,achome mtu afukie majivu afu awe hana utimamu wa akili.
Nakupongeza kwa hilo,oeni wanawake wacha Mungu waziombee ndoa zenu jamani,shetani akiona ndoa imetulia lazima ajipenyeze.Ungejua aliyokuwa ananifanyia na ulicho-comment hapo UNGEFUTA mara moja,na kama ningeendelea kuishi nae hakika ningekuwa natumikia Kifungo Jela, yule si Mama yangu wala damu ya ukoo wetu, hakukuwa na nafasi ya kumtengezea hayo mazingira mazuri unayoyamaanisha
Labda muwasilisha habari kakoseaYaani upime DNA ya majivu na upate majibu? Basi hakuchoma vizuri huyo
Akikutwa na matatizo ya afya ya akili atafungwa IsangaHii kesi jamaa atachomoka inaonekana anatembeza mpunga wa kutosha, kesi gani isiyoisha na kitu kipo wazi kabisa. Hapo majibu yanakuja ana matatizo ya akili mwisho wa siku anaachiwa huru au anahukumiwa miaka miwili au mitatu
Kama uliweza kuyafanya hayo yote kwa mafanikio, basi wewe ni genious upewe sifa.Mimi nilivyoona Mke hatuelewanj na kila mtu analala chumba chake,halafu bado haridhiki anaendelea kunifanyia visa kila kukicha alarm ikalia kichwani kwamba kuna kitu kinakuja kutokea,nilitegea kaenda kazini na basi la kazini kwao(alikuwa Private Sector),nikawasha gari niliyomnunulia na yangu nikaenda kuzificha sehemu,nikarudi na Canter nikabeba vitu vyangu nilivyoona vya maana nikaondoka zangu na kwenda kupanga(kumbuka hapo tulikuwa tunaishi nyumba ya Serikali ninakofanya kazi),ofisini nikawaambia wachukue nyumba yao wasinikate kwenye Mshahara nimehamia kwangu[emoji1787]aliachia nyumba bila kupenda,huu ni mwaka wa 12 sasa naishi vizuri bila kelele
Na akitoka ndugu wa mke sijui watakuwa kwenye hali gani maanaHii kesi jamaa atachomoka inaonekana anatembeza mpunga wa kutosha, kesi gani isiyoisha na kitu kipo wazi kabisa. Hapo majibu yanakuja ana matatizo ya akili mwisho wa siku anaachiwa huru au anahukumiwa miaka miwili au mitatu
Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Hamis Luoga anayekabiliwa na shtaka la mauaji ya mkewe, Naomi Marijani umeiomba Mahakama mshtakiwa huyo akapimwe afya ya akili.
Wakili wa utetezi, Mohamed Majaliwa ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, mshtakiwa apelekwe Hospitali ya Isanga mkoani Dodoma akapimwe afya ya akili kabla ya kuendelea na shauri hilo. Mahakama imekubali ombi hilo.
Luoga anadaiwa kumuua Naomi, kuuchoma moto mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na majivu yake alikwenda kuyafukia shambani kwake.
Wakili wa utetezi Majaliwa anayeshirikiana na Michael Kibindo, aliwasilisha ombi hilo jana mbele ya Jaji Mussa Pomo, shauri hilo lilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hoja za awali. Majaliwa alisema wanaomba mshtakiwa akafanyiwe uchunguzi kwa kuwa wana wasiwasi, kwani hata wanapozungumza naye hayupo sawa kiakili.
Alidai hawawezi kusikiliza mashahidi hadi hospitali itakapotoa majibu ya uchunguzi wa afya ya akili ya mshtakiwa na Jaji Pomo alikubali ombi hilo. Alisema shauri hilo litapangiwa tarehe baada ya majibu ya hospitali.
Awali, Wakili wa Serikali Dorothy Masawe alidai wanatarajia kusikiliza mashahidi 28 na watakuwa na vielelezo 15 katika kesi hiyo. Akimsomea mshtakiwa hoja za awali alidai kati ya vielelezo hivyo, saba ni vya nyaraka na vinane ni vitu halisi.
Alidai Mei 15, 2019 eneo la Gezaulole wilayani Kigamboni mshtakiwa alimuua kwa kukusudia Naomi.
Mshtakiwa anadaiwa Mei 19, 2019 aliripoti kituo cha polisi cha Mji Mwema kuwa mkewe Naomi na mwanaye wametoweka tangu Mei 17, 2019.
Inadaiwa alipohojiwa na polisi kituoni alikiri kumshambulia mkewe hadi kufa, baadaye alichukua mwili na kuupeleka kwenye kibanda na kuuchoma kwa mkaa.
Mshtakiwa anadaiwa katika mahojiano hayo, alieleza baada ya kuuchoma mwili alichukua mabaki ya majivu na kuyaweka kwenye mfuko. Kwa kutumia gari lake aina ya Subaru Forester aliyabeba na kuyapeleka shambani kwake eneo la Mlogolo wilayani Mkuranga mkoani Pwani.
Wakili Massawe alidai katika mahojiano hayo mshtakiwa anadai alichimba shimo kwenye shamba lake na kuyafukia. Pia alipanda mgomba juu yake.
Baada ya maelezo hayo anadai vilichukuliwa vinasaba vya majivu kwenda kupimwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, ndipo ilipobainika kuwa yalikuwa mabaki ya mwili wa Naomi.
MWANANCHI
Jamaa hayuko sawa kiakiliHuyo mtuhumiwa atakuwa anajifanyisha tu. Na kama ni kuchanganyikiwa, basi ni baada ya hayo mauaji. Ila kabla ya hapo, viashiria vyote vinamuonesha alikuwa na akili timamu.
Safi sana,ajakusumbuaga tena mkuu?hawa viumbe nuksi sanaMimi nilivyoona Mke hatuelewanj na kila mtu analala chumba chake,halafu bado haridhiki anaendelea kunifanyia visa kila kukicha alarm ikalia kichwani kwamba kuna kitu kinakuja kutokea,nilitegea kaenda kazini na basi la kazini kwao(alikuwa Private Sector),nikawasha gari niliyomnunulia na yangu nikaenda kuzificha sehemu,nikarudi na Canter nikabeba vitu vyangu nilivyoona vya maana nikaondoka zangu na kwenda kupanga(kumbuka hapo tulikuwa tunaishi nyumba ya Serikali ninakofanya kazi),ofisini nikawaambia wachukue nyumba yao wasinikate kwenye Mshahara nimehamia kwangu[emoji1787]aliachia nyumba bila kupenda,huu ni mwaka wa 12 sasa naishi vizuri bila kelele
Kimsingi alinipeleleza na kunifuatilia sana nia ni kutaka tugawane mali,mpaka naachane nae sikuwa hata na kiwanja maana nilikuwa naishi nyumba ya Serikali,nilivyoanza kuishi mwenyewe milango ikafunguka,nikaanza kununua viwanja na kujenga,mwaka juzi baada ya kupata taarifa ya maendeleo yangu na kupeleleza mpaka kujua baadhi ya nyumba zangu Dar akakimbilia Mahakamani kudai mgao[emoji1787][emoji1787]uzuri hizo Nyumba sikuandika majina yangu(HATI),hivyo Mahakamani amegonga mwamba,hakika yule alikuwa MWANGAKama uliweza kuyafanya hayo yote kwa mafanikio, basi wewe ni genious upewe sifa.
Waweza kufanikisha kumtoroka mtu, lakini akakupeleleza ulikohamia na timbwili likaendelea.
Basi tuseme una uwezo wa kutunza siri zako pamoja na siri za mazingira.
Ni vigumu sana kumtoroka mtu miaka 12 ashindwe kukupata katika jiografia ya eneo moja!
Au naye alikamia muachane na utoro wako akautumia kama ni fursa?