Kimsingi alinipeleleza na kunifuatilia sana nia ni kutaka tugawane mali,mpaka naachane nae sikuwa hata na kiwanja maana nilikuwa naishi nyumba ya Serikali,nilivyoanza kuishi mwenyewe milango ikafunguka,nikaanza kununua viwanja na kujenga,mwaka juzi baada ya kupata taarifa ya maendeleo yangu na kupeleleza mpaka kujua baadhi ya nyumba zangu Dar akakimbilia Mahakamani kudai mgao[emoji1787][emoji1787]uzuri hizo Nyumba sikuandika majina yangu(HATI),hivyo Mahakamani amegonga mwamba,hakika yule alikuwa MWANGA