Mahakama hailazimiki kufuata ushahidi wa kitaalamu (mfano ripoti ya daktari kuhusu utimamu wa akili wa mtuhumiwa). Daktari anaweza kusema mtuhumiwa ana tatizo la akili lakini mahakama ikamtia hatiani kulingana na mazingira aliyotenda kosa hilo iwapo yanaonesha alikuwa anajua anachokifanya.Benchi la utetezi wapo vyedi aisee
Anatoka huyo
Tunataka Katiba Mpya na siyo Katiba ya Warioba
Una akili sana.Kimsingi alinipeleleza na kunifuatilia sana nia ni kutaka tugawane mali,mpaka naachane nae sikuwa hata na kiwanja maana nilikuwa naishi nyumba ya Serikali,nilivyoanza kuishi mwenyewe milango ikafunguka,nikaanza kununua viwanja na kujenga,mwaka juzi baada ya kupata taarifa ya maendeleo yangu na kupeleleza mpaka kujua baadhi ya nyumba zangu Dar akakimbilia Mahakamani kudai mgao[emoji1787][emoji1787]uzuri hizo Nyumba sikuandika majina yangu(HATI),hivyo Mahakamani amegonga mwamba,hakika yule alikuwa MWANGA
Alikuwa havumiliki,ningejifanya mvumilivu tungekuwa tulishagawana majengo zamani sana,leo hii ningekuwa Jela kwa MAUAJIUna akili sana.
Kweli kuna wanawake wajengaji na wavunjaji!
Je kama ungelimstahimili mkawa naye mpaka kwenye ustaafu, ingelikuwaje kwa mwanamke mwenye akili kama hizo!
Probability ni nevitable au innevitable kwemye kesi?Mahakama hailazimiki kufuata ushahidi wa kitaalamu (mfano ripoti ya daktari kuhusu utimamu wa akili wa mtuhumiwa). Daktari anaweza kusema mtuhumiwa ana tatizo la akili lakini mahakama ikamtia hatiani kulingana na mazingira aliyotenda kosa hilo iwapo yanaonesha alikuwa anajua anachokifanya.
Sina hakika sana ila wataalamu mtanisaidia nilisikia mahali kuwa hapa Tanzania hamna hiko kipimo cha afya ya akili (sijajua kama kipo huko duniani kwingine)
hivyo ili kufahamu mtu afya yake ya akili , huulizwa maswali kadhaa maalum ambayo anapaswa kuyajibu then mhusika (nimuite mpimaji either Dokta au mwasaikolojia etc.)
kutokana na majibu yake kwa kutumia utaalamu lake atachakata na kuhitimisha kuwa huyu afya yake ya akili ipo timamu au ina walakini
Huyu hadi hapo anaenda nje ,jamaa anacheza vzr karata zakeBenchi la utetezi wapo vyedi aisee
Anatoka huyo
Tunataka Katiba Mpya na siyo Katiba ya Warioba
Sawa sawaKesi imeisha hiyo,hapo dokta anapewa mlungura, anasema upo crazy unapelekwa sober house!! Miaka, mitatu wa bongo wameisha sahau,unarudi zako hm kula bata.
kuna kesi unaona kabisa huchomoki na sehemu pekee unaweza itumia kama loophole ni kupitia daktari,hapo daltari atalambishwa mil.30 majibu yatatoka mshakiwa akili imefyetuka.Kazi kwelikweli,kimsingi kwa maisha aliyokuwa anaishi Uraiani,kisha ghafla upelekwe Jela kwa Kesi ambayo huoni utaponaje lazima akili iyumbe kidogo,lakini pili inaweza ikawa ni danganya toto ili apate favour fulani kwenye Kesi husika
Unaijua DNA wewe ile ni hatari inaonekana kwenye majivu ndioYaani upime DNA ya majivu na upate majibu? Basi hakuchoma vizuri huyo
Okay, siijuiWewe unaijua DNA kweli? haiharibiwi kirahisi hivyo
Kaua ndio, ila kuna tofauti ya ‘murder’ na ‘manslaughter’Hii kesi jamaa atachomoka inaonekana anatembeza mpunga wa kutosha, kesi gani isiyoisha na kitu kipo wazi kabisa. Hapo majibu yanakuja ana matatizo ya akili mwisho wa siku anaachiwa huru au anahukumiwa miaka miwili au mitatu
Najua hilo, yani mpaka amechoma na kuchoma akaenda kuripoti na polisi kua mke wake kapotea, alafu iwe ameua kwa kutokukusudia kweli?Kaua ndio, ila kuna tofauti ya ‘murder’ na ‘manslaughter’