Mahakama yamrejeshea ushindi wa udiwani kata ya Ndalambo Mgombea wa CHADEMA aliyeporwa na DED

Tanzania yangu kila mahali wizi. Je tutafika?. Kwa nini CCM mnawafanyia wananchi mambo haya. Mjaribu kujirekebisha angalau. Rais wetu ambaye ndiye mwenyekiti wenu anahubiri haki klla siku. Tekelezeni hiyo haki anayohubiri.
Masahihisho : Mwenyekiti wa ccm ndiye chanzo cha wizi wa kura baada ya kuwaambia wakurugenzi kwamba , " Nimekuteua nakupa mshahara na gari halafu umtangaze mpinzani mshindi "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…