Mahakama yamrejeshea ushindi wa udiwani kata ya Ndalambo Mgombea wa CHADEMA aliyeporwa na DED

Mahakama yamrejeshea ushindi wa udiwani kata ya Ndalambo Mgombea wa CHADEMA aliyeporwa na DED

Nashindwa kuelewa kwanini majitu humu hayana aibu. Hatua zote za uchaguzi zinafanyika, tume na vyama vinatumia gharama kubwa katika hatua za uchaguzi. Mwisho wa proces,s msimamizi kwa utashi wake binafsi na wa DC anaamua eti kutangaza mgombe aliyeshindwa kuwa diwani. Anaona watu wote waliojipanga siku zima kupiga kura kuwa ni wajinga! Swali: Baada ya mahakama kujiridhisha kuwa alifanya uhuni kudhulumu haki za watu, Je, NEC, Rais au DED alimchukulia hatua gani?

TUNATAKA TUME HURU, HII YENU IPELEKENI HUKO CHIMWAGA IKASIMAMIE KURA ZENU. NYAMBAFU.

Mahakama yamrejeshea ushindi wa udiwani kata ya Ndalambo Mgombea wa CHADEMA aliyeporwa na DED - JamiiForums
 
Nashindwa kuelewa kwanini majitu humu hayana aibu. Hatua zote za uchaguzi zinafanyika, tume na vyama vinatumia gharama kubwa katika hatua za uchaguzi. Mwisho wa proces,s msimamizi kwa utashi wake binafsi na wa DC anaamua eti kutangaza mgombe aliyeshindwa kuwa diwani. Anaona watu wote waliojipanga siku zima kupiga kura kuwa ni wajinga! Swali: Baada ya mahakama kujiridhisha kuwa alifanya uhuni kudhulumu haki za watu, Je, NEC, Rais au DED alimchukulia hatua gani?

TUNATAKA TUME HURU, HII YENU IPELEKENI HUKO CHIMWAGA IKASIMAMIE KURA ZENU. NYAMBAFU.

Mahakama yamrejeshea ushindi wa udiwani kata ya Ndalambo Mgombea wa CHADEMA aliyeporwa na DED - JamiiForums
Vilaza wa Tanzania ni hatari kuliko corona. Hawa ndio wanarudisha nyuma juhudi za kuleta ukombozi na uhuru wa kweli
 
CCM wanagopa tume huru ukiwambia tume huru hiyooo! wanakimbia ''We want free and fair elections''
 
Masahihisho : Mwenyekiti wa ccm ndiye chanzo cha wizi wa kura baada ya kuwaambia wakurugenzi kwamba , " Nimekuteua nakupa mshahara na gari halafu umtangaze mpinzani mshindi "
Ccm hawana uwezo wa kushinda uchaguzi huru na haki.

Chama kikongwe kimekuwa cha kikoloni kabisa.. wananchi wamekichoka lkn kinakomaa kwa wizi
 
Back
Top Bottom