Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Maagizo kutoka juu yametenguliwa na mahakamaMaagizo kutoka Juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maagizo kutoka juu yametenguliwa na mahakamaMaagizo kutoka Juu
dah hapana kumwaga damu isitokee tanzania tena hii roho tuipinge kwa nguvu zote, zipo njia nyingi za kupata tume huru bila kumwaga damu na ukiagalia wanasiasa wetu ni walewale hawaaminiki.2020 ndo itakuwa hivi kwa kweli tunahitaji tume huru hata kwa kumwaga damu
Kwa wale hawajaelewa alichoandika mwanalumumba ngonga like....Awamu hii
Sote ni wananchi..
Hapa kazi tu
Ccm bila kuiba kitemi ni wepesi kama pamba tu
Tume ya uchaguzi ni janga la Taifa!
Yameumbuka!
Kwa kuwa Tume huru ya uchaguzi ndiyo itakuwa kitanzi cha CCM.........2020 ndo itakuwa hivi kwa kweli tunahitaji tume huru hata kwa kumwaga damu
Unafikiri huyo DED alimtangaza wa CCM ameshinda kwa kutumia akili yake au maagizo toka huko walikompa gari na dereva?Maagizo kutoka Juu
Naona mahakama iko Uhuru,hakuna maelekezo toka juuCcm itakabidhi dola kama tutapata TUME HURU kwasababu hii mpaka mtu aliyeshinda ameenda mahakamani ndo ametangazwa....View attachment 1069524
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo liko kwa wale wenye rangi ya figili wasipotia miguu yao kwenye chombo chochote cha sheria haki inatendeka.Kumbe mahakama zipo huru na zinatenda haki?