Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Sasa Harmonize wakati ana-hit hivi akienda CRDB akawa business plan yake haaminiki kweli? Natolea mfano tu kwamba, nitafungua studio, nitasainisha wasanii, tutapiga show, kila mwezi tutakuwa tunaingiza milioni 30, nyie nawaletea milioni 10 zengu, basi CRDB kwakuwa hawaujui mziki wakaingia kingi!
 
Kigezo kikubwa anawaambia CRDB mimi brand banaaa 😄

Ova
 
Sio kweli, CRDB walimkopesha on Trust, maana amekuwa anatumikia kwenye matangazo yao, ili kuwa na uhakika wa kulipwa Deni lao wakamuimba afungue akaunti kwenye benki yao ili iwe rahisi kukata Deni la mkopo na interest ya mkopo.
Mitaani ndio tunakopeshana 'on trust.' Sio benki.

There is no such thing as kukopeahwa on trust.

You don't have the faintest idea about banking and lending. Clam up.

Aliyemkopesha bila dhamana ajira yake matattani, ameigharimu benki hela iliyokopeahwa, litigation costs, pamoja na terrible PR kwa CRDB kushitaki celebrities Bad form.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…