Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.


Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-153351~2.png
    127.8 KB · Views: 11
Extravagant Show offs... in 5 to 10 years time wasanii wengi watakuwa benchi with lots of regrets...
Pesa sio kitu Cha mchezo....

Wanaish maisha hata wenye vindululu tunaogopa...

Magari 20, Mabouncer , Cameras, High end prostixts...

Uzuri Wana back up ya gavoo...

Kuna kipindi wanalipwaga mahela hayajulikani ni ya kaz Gani...

Anyways, watamlipia
 
mjeshi atalipa 2 aina shida
 
Ndio maana watu wanaambiwa wasiwe wanaiga maisha ya maagizo ya wasanii mitandaoni
 
Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Mkopo huo ulikuwa wa Dhamana ya Ardhi (Nyumba) (Mortgage) au ni wa Nini hasa??? Dhamana au rehani aliweka assets gani ili kudhamini huo mkopo? Milioni 300 aliwezaje kukopeshwa na benki ya CRDB kiurahisi hivyo bila ya kuweka rehani mali yake yoyote ile? Ina maana kwamba alikopeshwa pesa nyingi kiasi hicho bila ya Mkopeshaji (Crdb) kujiridhisha Kwanza kuhusu uwezo wa mtu huyo wa kulipa marejesho ya deni lake???

Anyway, mkopo siyo sadaka, Mkopaji alipaswa kukopa kwa malengo.
Dawa ya deni ni kulipa.
 
Duuu ualimu kibongobongo ni laana kweli usifanye masihara Kopa huo mkopo ndo utaelewa kwanini ualimu ni laana
 
simu moja babake mkopo ukatolewa
 
Harmonize kazi kuponda raha na wanawake kumbe fedha za mikopo, walinzi kibao kwa fedha za mikopo alafu halipi, kweli Mungu akunyime nyote akupe akili..!! Kwa CRDB, atalipa tena kwa kuuziwa nyumba au akiwa gerezani, mwache afanye utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…