Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mbo
Mbona hela ndogo tu hiyo,ukiwa na business plan na una kipaji unapewa mkopo ,kwani maofisini stadg wakichukua mkopo dhamana huwa ni nini,hiyo ni hela ndogo kwa msanii wa kaliba yake
 
Hamonize amuulize 50 cent hasara ya wanawake wenye makalio, utaishia kufilisika tu.

Diamond alishtuka mapema sana wanawake wenye makalio ni muflisi akaachana nao. Kaamua kujitaftia low profile wake ajilie taratibu.
 
Mwenzake alikopa akafungua studio na baadae akaenda kuwekeza kwenye media.
Kweli penye miti hakuna wajenzi.
 
"Ni Ujinga nikadondokea umachinga,hapo ndipo akili ikaanza kukomaa na nikajuta kwanini sikusoma kwa jinsi jua la la utosi linavyochoma."

"Kama utani nikaanza kuimba ,Mungu si athumani nikakutana na simba akanipa kampani ila kuna wengine waliopinga eti sina kipaji wakashindwa kuelewa mola ndiyo mpaaji."

JESHI hiyo mistari inanipa morali ya kupambana sana...ebu lipa madeni buana uza hata LC300 moja ,kugombana na mabank inakuharibia future yako.
 

Mkuu umesahau kwamba MAGU alikuwa anamkubali KONDE kinoma? Possible KONDE alitoa proposal kwa JIWE then JIWE simu moja kwa KIMEI ,kimei akatoa KIBUNDA.
 
Mbwembwe zote hizo kumbe harmonize hamna kitu. Show off za kishamba. Wanaanza kuumbuka. Tunawasubiria kina chiefgolove na dj ally b.

King Kong III mrangi
 
duwh juz kati nilikutananae classic mall yuko na range moja matata kaingia crdb moja kwa kwenye getto la branch manager tukasema dah mwamba kishapita level za kukaa kwente mnyororo yeye fungu anaenda kuchukulia kwa wakubwa kabisa.
kumbe muhuni ana majanga makubwa kuliko sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…