Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ustadhi yupo pembeni hapo naamini mambo yahatoharibika
sasa CCM inahusiana nn na mahakama? nina wasiwasi na ufahamu wako!Wajifunze wamezidi nao
Tena hawa c walikuwa Maccm watajijuuu
Atalipiwa na kiongozi wa wanyonge😀Shilole aangua kilio baada ya mahakama kutoa hukumu kumtaka alipe million 14 za kitanzania kwa Mary Musa.
Mwaka 2017 katika mkesha wa Pasaka Shilole alilipwa mil.3 akatumbuize huko Mbagala lakini alishindwa kutokea kwa wakati hivyo mashabiki kupandwa na hasira na kuharibu Mali ukumbini Hapo.
Mary alifungua kesi kuomba alipwe fidia lakini Shilole akawa anapuuza wito wa mahakama.
Shilole ametakiwa kutoa pesa hizo ndani ya wiki moja la sivyo Mali zake zitashikiliwa.
Crediti: GPL
------------
Safi sana Mahakama, ni wakati sasa wa wanasanaa wetu kujua umuhimu wa kuheshimu sheria na kuheshimu mikataba.
sasa CCM inahusiana nn na mahakama? nina wasiwasi na ufahamu wako!
hajapewa...labda hadi harmonize amalize kuinterview watangazajiAtauza ile noah ya harusi
Akimpata wakili mzuri anaweza kupunguziwa adhabu na kuamriwa arudishe mil 3 aliyolipwa. Suala la uharibifu yeye alimhusu kwani aliyeandaa show alipaswa kuweka ulinzi imara
Acha kumdanganya uharibufu usingetokea endapo angetokea kwenye show. Kwa hiyo yeye ndio chanzo cha uharibifuAkimpata wakili mzuri anaweza kupunguziwa adhabu na kuamriwa arudishe mil 3 aliyolipwa. Suala la uharibifu yeye alimhusu kwani aliyeandaa show alipaswa kuweka ulinzi imara
Mwizi akija kukuibia mbona huendi kumshtaki Polisi ili hali swala la ulinzi linawahusu waoAkimpata wakili mzuri anaweza kupunguziwa adhabu na kuamriwa arudishe mil 3 aliyolipwa. Suala la uharibifu yeye alimhusu kwani aliyeandaa show alipaswa kuweka ulinzi imara