Mahakama yamuamuru Shilole kumlipa Mary Musa TZS 14M kama fidia ya kutokuhudhuria kwenye show

Mahakama yamuamuru Shilole kumlipa Mary Musa TZS 14M kama fidia ya kutokuhudhuria kwenye show

Sasa walishindwa kukaa wakayamaliza wenyewe au??
 
MBONA NDOGO, WANGEMCHAJI HATA M. 200 HV.. HAWA SI WALILIPWA BN. 1 KWENYE CHAGUZ, AU ZMEISHA?
 
Ccm ipo itamchangia

Nyie ndo mtakuwa wauaji. Msiojulikana. Mna dalili zote za kuweka magomvi kwa watanzania. Wakati unalalwa unakuwa unaulizaga Dy..d ni Act Wazalendo Au CDM Au Ccm. Acha kutugawa kijinga. Siasa ni za walaji. Unadhani wanakupenda wee. Utakuwa zwazwa
 
Akimpata wakili mzuri anaweza kupunguziwa adhabu na kuamriwa arudishe mil 3 aliyolipwa. Suala la uharibifu yeye alimhusu kwani aliyeandaa show alipaswa kuweka ulinzi imara
mkuuu wew ni mwanasheria ao babasheria mana naona unazijuwa sana
 
haya sasa wale waliomchangia kwenye harusi wamchangie tena kwenye matatizo.....hapa ndio pa kuwajua binadamu vizuri.
kwenye raha wako na wewe kwenye shida uko peke yako
kwani wao ndio walimwambia asitokee kwenye show??
 
Kweli bongo movie bongo lala yaani unalipwa 3m kwenda kupiga playback nne ndani ya dakika 20 kisha unaleta MAKUzi? Alipe fasta hiyo 14m Ili iwe fundisho kwa Bongo Lala Wenzake.
Kwani huyu ni Bongo movie au Bongo flavour??
 
mkuuu wew ni mwanasheria ao babasheria mana naona unazijuwa sana

Kawaida tu mkuu,ni kutokana na kusoma case mbalimbali na kushiriki sana kusikiliza case za mahakamani hasa za mahakama ya mwanzo
 
Akimpata wakili mzuri anaweza kupunguziwa adhabu na kuamriwa arudishe mil 3 aliyolipwa. Suala la uharibifu yeye alimhusu kwani aliyeandaa show alipaswa kuweka ulinzi imara
Bush lawyer!kwa hiyo thamani ya hela na usumbufu na gharama za uwakili alipe nani?
 
Nyie ndo mtakuwa wauaji. Msiojulikana. Mna dalili zote za kuweka magomvi kwa watanzania. Wakati unalalwa unakuwa unaulizaga Dy..d ni Act Wazalendo Au CDM Au Ccm. Acha kutugawa kijinga. Siasa ni za walaji. Unadhani wanakupenda wee. Utakuwa zwazwa
walïlipwa hela na Kikwete katiba mpya,wakalipwa tena kwenye uchaguzi mkuu,dadadeki ajambishwe tu huyu li Ccm lisilo na huruma kwa watanzania
 
Bush lawyer!kwa hiyo thamani ya hela na usumbufu na gharama za uwakili alipe nani?

Kuna asilimia zake ktk ukokotoaji wa mahesabu ila sio hiyo aliyoitaja mkuu,hiyo ni kubwa mno
 
Back
Top Bottom