Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Hivi wakishinda tena hawawezi wakawa sue kwa fidia ya kuwaletea stress 🤣🤣😊😊😊
 
Kwenye kipindi cha "Salama na"....kinachorushwa "EATV" Mwana F.A anakiri kuwa waliamua kuwashtaki Tigo badala ya Cellulant kwasababu walijua Cellulant hawatakuwa na hela ya kuwalipa....hili we unalizungumziaje? na kama unaona uongo kipindi kipo U tube...kaangalie
Dooh,,hili boko hili
 
Kwenye kipindi cha "Salama na"....kinachorushwa "EATV" Mwana F.A anakiri kuwa waliamua kuwashtaki Tigo badala ya Cellulant kwasababu walijua Cellulant hawatakuwa na hela ya kuwalipa....hili we unalizungumziaje? na kama unaona uongo kipindi kipo U tube...kaangalie

Duh 🙄😲😲 hii lazima nikaichek
 
Mkuu hukumu iliyotoka imetengua maamuzi so kesi itaanza kusikilizwa upya,sio kwamba haya maamuzi yaliyotoka sasa ndio final decision
Mkuu kuna kitu kinaitwa res judicata
"The matter have been decided amicably"
Hakuna room ya kufungua fresh case tena
 
Kaka FA na AY hakika mmepambania JASHO lenu....na Allah hakika atawalindia aaamin aaamin....

Ninyi Ni alama ya vijana majasiri mliovunja MINYORORO ya wizi katika industry ya MUZIKI....walidhulumiwa kina kaka Sugu..wakapaza SAUTI....ninyi hamkupaza sauti tu bali mlichukua HATUA MUJARABU......

Mahakama ni kwa wote....
Endeleeni kupambania CHENU huko....aaamin

BEST WISHES....
 
Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria..hii ngoma inabidi hela zirudi then ngoma ianze upya mahakama kuu na kama FA wakishinda walipwe kihalali sasa..Au nimekosea
Hizo hela hawana saivi

AY kaenda olea Rwanda na na vi-yatch vyake huko seacliff

FA kajengea huko mbweni na kaanzishia unyunyu

Nimeguess tu Ila Mimi sio hater[emoji14][emoji14][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji3577]
 
Hizo hela hawana saivi

AY kaenda olea Rwanda na na vi-yatch vyake huko seacliff

FA kajengea huko mbweni na kaanzishia unyunyu

Nimeguess tu Ila Mimi sio hater[emoji14][emoji14][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji3577]
Inatakiwa mahakama iliyokosea(Serikali) ilipe hiyo hela...Kesi ianze tena mahakama kuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N

Msando anamamlaka ya kukamata akaunti ya mtu bila kibali cha mahakama? Sasa nani kafanya kosa, Msando au Mahakama?
Huu mjadala siyo wa vijiwe samli! Unahitaji watu wanaojua sheria. Fanyeni favour basi kwa kutouteka ili watu wenye weledi watoe mchango! Ukisoma thread karibu yote watu hawana clue na mambo ya sheria lakini ndiyo wanaongoza kwa ubishi.
 
Huu mjadala siyo wa vijiwe samli! Unahitaji watu wanaojua sheria. Fanyeni favour basi kwa kutouteka ili watu wenye weledi watoe mchango! Ukisoma thread karibu yote watu hawana clue na mambo ya sheria lakini ndiyo wanaongoza kwa ubishi.
Mabush lawyer wengi sana humu wanang'ang'ania vitu ambavyo kisheria havipo
 
Hapa kuna mambo matatu ya kuzingatia,

Jambo la kwnza mpka mahakama inatoa hukumu je wakili WA tigo alikuwa hajui kama hiyo mahakama haina uwezo WA kusikiliza hiyo kesi?

Jambo la pili rufaa imekatwa nje ya muda ,kisheria walitakiwa waitwe washitaki wakae meza moja na washitakiwa, wale washitakiwa walete vielelezo kwann wamekata rufaa nje muda kuwe na sababu za msingi sana, kama mshakiwa alikuwa anaumwa na anatakiwa alete vielelozo vya ugonjwa aliokuwa anaumwa kama hoja zake hazina mashiko hapewi nafasi ya kukata rufaa nje ya muda ,

Jambo la tatu kila hakimu huukumu kutokana na hukumu Fulani za awal ndio maana mahakimu hata kama amehukumu sivyo hakuna wa kushitaki maana ukimuuliza kwann umehukumu hivi atakuletea kesi kama hiyo iliotokea ktk nchi fualani na hukumu ikawa hivyo, hakimu anaweza akashauliwa na wazee WA balaza juu ya kesi Fulani nae akahukumu kivingiiine

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Aiseee kuna bush lawyers wengi sana humu.

Nakumbuka nilishawahi kuandika uzi humu na kutoa mapendekezo kwamba mambo ya kitaalamu kama utabibu na mambo yanayohusu sheria YASIMAMIWE NA MODERATORS ili kuhakisha watu hawalishwi matango mwitu!

Humu kila mtu ni daktari na mwanasheria!
 
Ninaamini wakikata Rufaa na kujenga hoja vyema watashinda kwa kuwa Jaji amejieelekeza vibaya kutafsiri Sheria hizo mbili, Sheria ya haki miliki (kifungu cha 4) na ya Mahakama na Sheria ya Mahakama za Mahakimu (kifungu cha 40 (1)(b) ), Mahakama ya Wilaya kwa kesi za Hakimiliki ina uwezo huo wa kusikiliza madai ya fidia ya kiasi chochote kile.

Uhalali wa Mahakama ya Wilaya umeelezwa katika kifungu cha 40 (1) (b) na Kifungu cha 40 (2) cha Sheria ya Mahakama za mahakimu. Kifungu kinasema kama kuna sheria imeipa mahakama ya Wilaya mamlaka pekee ya kusikiliza shauri, basi itasikiliza kwa dai la kiwango chochote.

Kifungu hicho cha 40(2) kinaeleza ifuatavyo:


View attachment 1643934


Sheria ya HakiMiliki sasa yenyewe imesema kuwa madai ya uvunjwaji wa hakimiliki yatasikilizwa na Mahakama ya Wilaya, ambapo itakuwa na mamlaka ya kutoa amri ya mdai kulipwa kiasi chochote kile anachoona kuwa anafaa kulipwa.

Kifungu cha 36 cha Sheria ya Hakimiliki.
View attachment 1643937

Ila ngoja mpambano uendelee, Mahakama ya Rufaa itoe tafsiri sahihi.
We nae kwa kujitutumua!

Kazi za watu hizi we unaleta uanasheria wako wa mtandaoni!
 
Exactly my point, aliyefanya kosa ni hakimu na mahakama yake, akamatwe na afungwe kwa kukiuka sheria, mwanaFa kapeleka malalamiko na wakamsikiliza, yeye MwanaFa agomee kwamba wasisikilize?
So much ignorance on the comments section.
 
Nimesoma bandiko, sasa kama Mahakama iliyosikiliza hiyo kesi haikupaswa kufanya hivyo tena mpaka na hukumu ikatoa, hapo kosa ni la nani? Kwanini kina Mwana FA watishiwe kushikwa mali zao? Hapo ndipo nilipotaka ufafanuzi wa kina.
Walipokea pesa kimakosa na tigo wanazihitaji pesa zao,na kwa vile pesa walizopatiwa zitakuwa zimeshatumika itabidi mali zao zishikiliwe ili kufidia hizo pesa.
Sijui hapa umeelewa?
 
Back
Top Bottom