bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Mwamba seems una masilahi na hii kesi umekomaa kinoma....Linda reputation yako kwa KUTODHULUMU JASHO LA WENGINE....
Mahakama ni kimbio la kila mmoja....
Unatumia CALLER TUNE za wanamuziki....unapiga pesa kwalo...wamelalamika unadai they tarnish ur image?!!!
Ok well if unasema madalali(CELLULANT) ndio waliotakiwa KULIPA (if so) why would you then paid following court verdict?!!!