Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Sasa hela nimeshatumia kwa amri halali ya bwana hakimu .Ndio maana kuna rufaa....
jukumu la kwenye rufaa ni mahakama ya juu kurekebisha mapungufu ya kisheria yaliyojitokeza kwenye hukumu ya mahakama ya chini...
hakimu unaweza kumdaka kwenye rushwa tu...
sio kwenye reasoning.....
sijui kama nimeeleweka