Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama iliyosikiliza hiyo kesi haikupaswa kusikiliza kesi inayozidi madai ya kiwango cha million 300 kisheria au haujapitia bandiko vyema mkuu !?
Nimesoma bandiko, sasa kama Mahakama iliyosikiliza hiyo kesi haikupaswa kufanya hivyo tena mpaka na hukumu ikatoa, hapo kosa ni la nani? Kwanini kina Mwana FA watishiwe kushikwa mali zao? Hapo ndipo nilipotaka ufafanuzi wa kina.
 
Ukisikia jela inakuita ghafla ndio hii
 
Upuuumbaaavuuuu....😲😲🤣🤣

Sasa ni kwanini WASIKATE rufaa kabla ya kuwalipa hizo PESA?!!

Huku mitaani kunatokea kesi za nyumba....mdai anashinda kesi MAHAKAMANI...na bado inachukua MUDA na MIAKA kupewa haki yake na MDAIWA...simply kwa kuwa MDAIWA amekata RUFAA MAHAKAMANI.....
 
Mbona article inajieleza vizuri ...Mwanasheria anasema wakati Wana hangaika na kukata rufaa mahama ikawa imetoa agizo la Tigo kuwalipa walalamikaji
 
Hawa tigo nao....bil2 tu $1million?? ndo wanazungushana Hivi court

Kampuni kubwa kama tigo?
Tena nyimbo walizitumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mkuu hapo issue haijakaa katika pesa tu peke yake.. issue imekaa katika pesa na Uchafuzi wa kuichafua taswira ya kampuni yaani Tigo wanaona kabisa kuwa wamechafuliwa na kama hukumu haikuwa ni ya haki kweli... Basi sote hapa hatuwezi kupinga kuwa tigo wamechafuliwa taswira yao kibiashara now wanaonekana Ni matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…