Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Well....
Hivi ni Mara ngapi mahakama inatoa maamuzi Kama hayo...na bado maamuzi ya kulipa huchelewa...
Najaribu kufikiria hiyo "window period" ya hao mawakili kukata RUFAA na UAMUZI wa wao kuwalipa....
Ok it's a saga...let's wait to see wanasheria wakichuana kisomi..
Hivi ni Mara ngapi mahakama inatoa maamuzi Kama hayo...na bado maamuzi ya kulipa huchelewa...
Najaribu kufikiria hiyo "window period" ya hao mawakili kukata RUFAA na UAMUZI wa wao kuwalipa....
Ok it's a saga...let's wait to see wanasheria wakichuana kisomi..
Mbona article inajieleza vizuri ...Mwanasheria anasema wakati Wana hangaika na kukata rufaa mahama ikawa imetoa agizo la Tigo kuwalipa walalamikaji
Mbona article inajieleza vizuri ...Mwanasheria anasema wakati Wana hangaika na kukata rufaa mahama ikawa imetoa agizo la Tigo kuwalipa walalamikaji