Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Tigo hawaja badilisha Mawakili.Sheria msumeno hapo wakili ametumia technique hiyo hukumu ilikuwa batili si ajabu wakili wa mwanzo wa tigo alikula pesa alijua kabisa mahakama hiyo haina uwezo huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tigo hawaja badilisha Mawakili.Sheria msumeno hapo wakili ametumia technique hiyo hukumu ilikuwa batili si ajabu wakili wa mwanzo wa tigo alikula pesa alijua kabisa mahakama hiyo haina uwezo huo
Ndio tunajua umefurah kina FA kuporwa pesa zao si ndo vijana wa bongo mlivyo hampend mafanikio ya wenzenu.wivu mbaya sana aiseeMambo ya kitaaluma haya tuliza mhemko
Sawa ..ila deep inside kuna ka wivu flan kwa kina FA kwamba ya wapate wao hzo pesa vijana wa kibongo tunajuana.mwenzao akipata kiroho kinaruka hiv..mbaya snaa...yaan kiufup hauhitaj kuwa upande wa tigo hata kama wamekoseaImagine !! Mtu analeta mlipuko wa kihisia za mahaba katika suala nyeti Kama hili ..
Vijana wa bongo tuna wivu mbaya sana.hiv hujishangai roho inavokuuma hapo jamaa walivopata pesa dah...af utakuta mwana ni mlokole wa kwa mwamposa au bushiri..unafik mwing sana vijana wa kibongoHalafu kuna milamba matako humu ilisema hawa mafala walishapewa hiyo hela...
Masikini wale
Tigo wanajidhalilisha tu, hawaoni aibu. Kwani hawakutumia kweli hizo nyimbo?
Au sababu wamezoea dhulumu wasanii?
Kesi ile ilitakiwa kuwa mahakama ya hakimu mkazi sio mahakama ya wilaya so ile judgement ni batiliAisee! Kina MwanaFA hela zao si walilipwa kwa hukumu ya Mahakama? Sasa wao kosa lao nini hapo mpaka kusema mali zao zitakamatwa?
Wataalamu wa sheria mje hapa kutusaidia kuelewa hili jambo.
Uwe unasoma vizuri[emoji2960][emoji2960] Kuna watu waongo humuuu.
Si mlisema wameshalipwa?
Mi ningekuwa mwanafa ningechukia hizo hela nikatorokea ubelgijiMi Ningekuw mwana fa nachukua kama milioni 200 hivi naenda kuhonga huyo jaji akitoa hukum ingine niwazile tena tigo
Ahaghh aghh sasa huko Ni kulazimishana kihisia boss huo Ni ukoloni mambo leoSawa ..ila deep inside kuna ka wivu flan kwa kina FA kwamba ya wapate wao hzo pesa vijana wa kibongo tunajuana.mwenzao akipata kiroho kinaruka hiv..mbaya snaa...yaan kiufup hauhitaj kuwa upande wa tigo hata kama wamekosea
Uwe unasoma vizuri
Watazitapika in jiwe voiceKazi wanayo
Waweza kukuta huyo hakimu aliyepitisha hiyo hukumu Alifanya hivyo ili nayeye apige mpunga. Sasa mpunga unakwenda kuwatokea puani [emoji849][emoji849]
Kazi ipo !?watazitapika in jiwes voice
Exactly my point, aliyefanya kosa ni hakimu na mahakama yake, akamatwe na afungwe kwa kukiuka sheria, mwanaFa kapeleka malalamiko na wakamsikiliza, yeye MwanaFa agomee kwamba wasisikilize?Huyo Hakimu ndiye aliyekiuka sheria na huku akijua ni kosa, akamatwe yeye na afungwe ili iwe fundisho.
Hao wengine wana kosa gani wakati wamepewa haki mahakamani?