Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Deep inside unajijua y u feel that way. Hiyo roho pambana nayo sana bro. Sio nzuriAhaghh aghh sasa huko Ni kulazimishana kihisia boss huo Ni ukoloni mambo leo...
Tho sikupangii kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deep inside unajijua y u feel that way. Hiyo roho pambana nayo sana bro. Sio nzuriAhaghh aghh sasa huko Ni kulazimishana kihisia boss huo Ni ukoloni mambo leo...
mkuu ukimkamata mtu kauziwa gari lako kwa wizi utamtafuta aliyemuuzia ukamdai au utamdai yule uliyemkamata na gari yakoNimeona Kama Tigo Wana hoja ya msingi mwanasheria wao anasema kwamba wao walipelekewa hizo nyimbo na kampuni ya Celullant LTD ambayo kimsingi Ni Kama dalali wa kuuza hizo nyimbo za wasanii kwa makampuni ya simu nchini .so kimsingi Mwanasheria wa Tigo anadai kwamba kampuni ambayo inapaswa kushtakiwa Ni hiyo cuz wao walimalizana na kampuni hiyo kisheria
Ngoja kwanza tuone hili saga litakavyo kwisha
Nitamtafuta niliyemkamata na gari ... Then what if kukiwa na uthibitisho wa kisheria kwamba Tigo walinunua kisheria hizo nyimbo toka katika hiyo kampuni na kampuni hiyo iliuziwa kisheria hizo nyimbo na wasanii husika !??mkuu ukimkamata mtu kauziwa gari lako kwa wizi utamtafuta aliyemuuzia ukamdai au utamdai yule uliyemkamata na gari yako
Yes walishalipwa na walishakula, mahakama imeamuru warudishe au mali zao zishikiliwe[emoji2960][emoji2960] Kuna watu waongo humuuu.
Si mlisema wameshalipwa?
Punguza panic, wapi nmesema nmefurahi ?Ndio tunajua umefurah kina FA kuporwa pesa zao si ndo vijana wa bongo mlivyo hampend mafanikio ya wenzenu.wivu mbaya sana aisee
Tanzania sasa hivi kila mtu anajipambania ajuavyo. Ndio maana leo FA anakula mezani pa wauaji.Ndio tunajua umefurah kina FA kuporwa pesa zao si ndo vijana wa bongo mlivyo hampend mafanikio ya wenzenu.wivu mbaya sana aisee
achana na huyo dem sijui ndo mchepuko wa FA?Punguza panic, wapi nmesema nmefurahi ?
Huo mfano sidhani kama ni relevant mkuu...Kusema mliletewa kazi na Cellulant bila ufhibitisho kuwa wanamiliki kazi hizo ni sawa na kununua gari ya wizi halafu uje useme ulikuwa hujui. Bado utawajibika kulilipia gari hilo kisha uanze kumtafuta aliye kutapeli (Cellulant). Hao mahakama ya wilaya ndio walipe hizo fedha kwa kusikiliza kesi wasio na uwezo nayo, period.
Hahahaaaa........basi watazirudisha!Kumbe walikuwa hawajalipwa,
Kuna uzi niliona wanasema walilipwa
Mbona unashangaa bwashee?Dr. Msando!!!!!!
Ulitegemea msando tapeli ashinde kesi bila kuhonga?hana historia ya kushinda kesi bila rushwa sasa mgao unamtokea puani chawa wa ccm.....yani lazima degedege limpate halafu mama Di melo hajui kuremba kesi wala kula rushwa yaoKazi wanayo
Waweza kukuta huyo hakimu aliyepitisha hiyo hukumu Alifanya hivyo ili nayeye apige mpunga. Sasa mpunga unakwenda kuwatokea puani [emoji849][emoji849]
Msando na wateja wake walihonga liko wazi hiloHuyo Hakimu ndiye aliyekiuka sheria na huku akijua ni kosa, akamatwe yeye na afungwe ili iwe fundisho.
Hao wengine wana kosa gani wakati wamepewa haki mahakamani?
Msando ni bushlawyer tunamjua,hajawahi shinda kesi bila kuhonga....alikua mwanasheria wa exim bank arusha akawa anakula pesa za washtakiwa tu exim wakasanuka na kumtimulia mbali....baada ya kumtimua wakashinda kesi na wafanyakazi wezi wakahukumiwa miaka 30Kwenye hii kesi kulikua na janjajanja pamoja na vitisho vingi sana.
Si ndo hapo sasa...kwa sababu kesi kama ina wakili ina maana walianza kuandika "Demand note" kwenda Tigo na hiyo huonyesha kiasi ambacho watamuomba wanayetaka kumshtaki kiasi anachotakiwa kulipa kwa ukiukaji wa haki aliofanya au la watu waende Mahakamani.Sasa hapo hasara itakuwa Kwa hao vijana,maana waliopewa mgao kama mawakili na wadau hawawawezi kurudisha pesa.Hapo mwana fa na Ay inabidi wahangaike wenyewe ikiwemo kuwalipa mawakili upya.Nilichogundua mawakili wengi ni watoto WA mjini