Tangia lini,mbona numuona na ford ranger rangi ya machungwa flani hivi anazurula tu!?
 
Hii kila kitu michezo tu, ndio maana hata tunaongozwa na mtu anayetudharau lkn bado tunambabakia
 
 
naamini atajitokeza ! labda hajapata samansg.h
 
Machadema cjui yakoje yanapenda chuki sana!!!
Mboe aliwafundisha tabia za kihalifu kama vile; ukaidi, UVUTAJI wa bangi, ukorofi, ujambazi, ubishi na kila aina ya uhalifu.
ndio maana nasema mboe lazima afungwe kifungo cha maisha gerezani ili iwe fundisho kwa hawa nyumbu wake.
 
Hakuna mtu anayemficha Makonda, kwa kuwa aliyekuwa anamtuma kufanya uovu ni Mwendazake ambaye ametangulia Jehanam.

Makonda atakuwa kisha kimbia Nchi au kama yupo ata commit suicide tu, hamna namna atakubali kushtakiwa kama Ole Sabaya
Kesi inaendeleaje?
 
 

Attachments

  • Screenshot_20220305-075111_Gallery.jpg
    130.4 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…