Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,305
Money laundryHivi "utakatishaji fedha" ndio nini?wajuzi tusaidieni maana hata sielewi hawa jamaa walifanyeje?
Yuko Rwanda/Burundi kitambo sanaAkimbie nchi atafia jela huyo
Du afadhali yake kwa huu utawala jamaa angemnyonya macho mzimamzima.Yuko Rwanda/Burundi kitambo sana
Alikuwa anakujaga Bongo ila kwa style hii sjui kama atatia mguu.....kwanza afya yke yenyewe Syo nzuri muda sana nlimuonaga anatembea kwa gongo tena lile lenye miguu mitatu chini
Sasa lupango atakuweza kweli
Ova
Mhh serikali Ina mkono mrefu bob lkn hzo nchi zenyewe zote tumeshibana nazoDu afadhali yake kwa huu utawala jamaa angemnyonya macho mzimamzima.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasikia jamaa alishasepa kitambo nchini
Kwenye akaunti yake kuna laki sita teh tehDuh Yuko fasta basi
Ova
Mpaka Manara? Na zile taarabu zake sijui atamwimbia nani!Simba yote itakuwa magereza
Benki wanajuaje mkuu,au kuna kiasi kikifika account inakuwa pending??Unapochukua hela ya wizi ama ela yoyote ambayo haina maelezo ya umeipataje ama ela yoyote ambayo ni nyingi kupita vyanzo vyako vya mapato na kuiingiza kwenye mzunguuko wa hela mfano kununua viwanja, ama kuziweka fedha bank n.k (hiyo ndio kutakatisha fedha na kiufupi kuifanya ela haramu kuwa halali).....kuhusu walifanyaje kwenye kutakatisha hizo fedha hapo sijui ngoja wajuzi wa mambo waje ila unaweza ukabofya kwenye link hapo chini;
Makosa 5 yanayowakabili Rais wa Simba Evans Aveva na Makamu wake G.N. Kaburu
ZuwenaDu! Simba Tunalo
Vipi tenaZuwena
Si alikuwa anahonga ili Magufuli (anayepambana na mafisadi)asishindeKuna siku Elungata alisha wahi kusema kitu kama hicho hapa jf, sijui kama atakuwa anakumbuka,
Jamaa ndiyo aliye toa milion 30, kwenye uchanguzi wa mwaka 2015 kwenye mkutano wa CDM na wadau sijui ulifanyika ukumbi gani vile wa kuomba msaada wa hela kumalizia kampeni za uchanguzi mkuu..
Anatafutwa kwa mlango wa nyuma usio wa kisiasa patamu hapo....
Nimejikuta nakumbuka meengi sana kwa jina hilo na hapa si mahali pake, kwa muktadha wa mada husika kweli Simba yametufika ZuwenaVipi tena
Ha! pole bwanaNimejikuta nakumbuka meengi sana kwa jina hilo na hapa si mahali pake, kwa muktadha wa mada husika kweli Simba yametufika Zuwena
Asante Zuwena, yaani hapa jina limenivuruga si kidogo....ila ni kumbukumbu ya miaka mingi iliyopita, nakibali muda ni kitu cha ajabu sana, hua unatibu majeraha ya kila ainaHa! pole bwana
Jina limekuletea Sintofahamu!
ivi iringa ni jiji?Z Hans Poppe ana hotel kubwa sana katikati ya jiji la Iringa, sijui ataihamisha vipi, labda aiuze. Yale Maroli ya mafuta nina muda cjayaona, cjui keshayahamisha!
Jiji, I meant Central Business District of Iringa.ivi iringa ni jiji?
Haji nae ajiande kwa kupashaBado Kichuya
Kama bado yuko nchini ahesabu anakaa lupango miaka zaidi ya mitano kabla ya kesi wala nini..