Mahakama yatoa hati ya kumkamata Zacharia Hans Poppe, kuunganishwa kesi ya utakatishaji fedha

Mahakama yatoa hati ya kumkamata Zacharia Hans Poppe, kuunganishwa kesi ya utakatishaji fedha

Akimbie nchi atafia jela huyo
Yuko Rwanda/Burundi kitambo sana
Alikuwa anakujaga Bongo ila kwa style hii sjui kama atatia mguu.....kwanza afya yke yenyewe Syo nzuri muda sana nlimuonaga anatembea kwa gongo tena lile lenye miguu mitatu chini
Sasa lupango atakuweza kweli

Ova
 
Yuko Rwanda/Burundi kitambo sana
Alikuwa anakujaga Bongo ila kwa style hii sjui kama atatia mguu.....kwanza afya yke yenyewe Syo nzuri muda sana nlimuonaga anatembea kwa gongo tena lile lenye miguu mitatu chini
Sasa lupango atakuweza kweli

Ova
Du afadhali yake kwa huu utawala jamaa angemnyonya macho mzimamzima.
 
Duh Yuko fasta basi

Ova
Kwenye akaunti yake kuna laki sita teh teh

yule mhindi wa iptl ana tamaa ya hela sana, sasa hvi usingekuta yupo mahabusu.... Seth ana puto tumboni mda wowote litapasuka
 
Kibri ya Makofia itamgharimu pakubwa. Mahakama si mahala pa kufanyia jeuri. Nchi imebadirika hii.
 
Unapochukua hela ya wizi ama ela yoyote ambayo haina maelezo ya umeipataje ama ela yoyote ambayo ni nyingi kupita vyanzo vyako vya mapato na kuiingiza kwenye mzunguuko wa hela mfano kununua viwanja, ama kuziweka fedha bank n.k (hiyo ndio kutakatisha fedha na kiufupi kuifanya ela haramu kuwa halali).....kuhusu walifanyaje kwenye kutakatisha hizo fedha hapo sijui ngoja wajuzi wa mambo waje ila unaweza ukabofya kwenye link hapo chini;
Makosa 5 yanayowakabili Rais wa Simba Evans Aveva na Makamu wake G.N. Kaburu
Benki wanajuaje mkuu,au kuna kiasi kikifika account inakuwa pending??
 
Kuna siku Elungata alisha wahi kusema kitu kama hicho hapa jf, sijui kama atakuwa anakumbuka,

Jamaa ndiyo aliye toa milion 30, kwenye uchanguzi wa mwaka 2015 kwenye mkutano wa CDM na wadau sijui ulifanyika ukumbi gani vile wa kuomba msaada wa hela kumalizia kampeni za uchanguzi mkuu..

Anatafutwa kwa mlango wa nyuma usio wa kisiasa patamu hapo....
Si alikuwa anahonga ili Magufuli (anayepambana na mafisadi)asishinde
 
Back
Top Bottom