Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

Nadhani unaishi kwenye dunia ya kufikirika.
Fair enough hebu tuishi dunia yako ili tujadiliane
Strength ya katiba (na hata ya sheria) bila watawala waadilifu doesn’t exist.
Strength ya katiba ni kujenga institutions imara na kuzuia uharibifu pale unapotokea, nimekupa UK, India, Germany and Israel as case in point. USA ni mfano mzuri wa institution imara
Kama utakumbuka Gen Miley na Speaker Pelosi walikutana ku-secure nuclear code in worst case scenario.
Kama Mike Pence angekosa huo uadilifu, Marekani ilikuwa imegota.
Pence hakuwa muadilifu aliogopa consequences. Kabla ya kwenda katika Joint session ys Congress, VP Pence aliwasiliana na former AG M. Mukasey aliyemwambia hakuna kifungu chochote kinachomruhusu kubadili matokeo.
Pence alijua hatari mbele yake kwa kuzingatia Katiba na sheria.
Hakuna Ibara ya US Constitution inayoilazimisha US Senate kuthibitisha electoral votes za state yoyote.
Hapa ndipo nimetambua kuna vitu ima huelewi au unasimuliwa.
Senate haithitibitishi electoral votes, hakuna.

Kilichotokea January 6 ni attack kwa Joint Session ya Congress. Joint session ni Senate na House. Counting of electoral votes ni kazi ya Joint Session ya Congress si Senate
Kama VP (ambaye ndiye president of the US Senate) na US Senate yake wangeamua kuzikataa electoral votes za swing states, Marekani ilikuwa haina ujanja wowote zaidi ya kuwa kwenye impasse ambayo ingempa Trump excuse ya kutangaza state of emergency.
Please note , Senate haina mandate! ni Joint session of Congress. Unachozungumzia ni Anachronism
Hapa unaangalia mambo kwa ufinyu. Katiba ya US inampa Rais mandate to hire and fire!
Katika kufanya hivyo kuna guardrails na kuwatimua hao hasa Comey ndio ili trigger Deputy AG Roseinstein kuanzisha kamati ya Mueller ya Russia investigation.
Asikudanganye mtu, ni nchi chache sana ambazo zina judges na CAG ambao sio wateule wa Rais au Prime Minister.
Again sijui kwanini huelewi. Tunasema hivi lazima kuwe na 'checks and balances''
Mfano, US AG, Joint Chief of Staff, AG n.k. wanaweza kuitwa na kuhojiwa na kamati za Congress

CAG ana utaratibu wa kuondolewa na kilichofanyika kwa Prof Assad na kwa mujibu wake pia hakikuwa sawa. Ni utaratibu unaojulikana. Katiba ya 1977 ilikiukwa na kwavile inaumwa sana haikuweza kujitetea wala hatukuweza kuitetea . Absolute power. Umeelewa japo kidogo!

Kwa katiba ya 1977 ilivyo taabani lolote linawezekana.
Haiwezi kutoka CJ wa Kenya kuondolewa kikuku au kuajiriwa kwa probation.
Narudia tena, kwa nafasi ya Rais, hakuna substitute ya uadilifu! Ni sawa tu na jinsi crimes zingine zinavyoendelea kuwepo hata baada ya nchi kuwa na sheria zinazotoa adhabu kali, including the death penalty!
Yes kwavile unaiangalia katiba ya 1977 sidhani kama utakuwa unakosea.
Ukiangalia Dunia kwa ujumla ipo siku utarudi kufuta hayo maelezo.

Hii kesi ya Mbowe kwakweli nilitamani iendelee kwa miezi zaidi, inasaidia sana Umma kuelewa matundu na kufikiria mbadala ikiwemo Katiba
 

Let’s agree to disagree. Katika nchi nyingi, the penalty for killing someone intentionally, kwa mfano, ni kifo. Pamoja na harshness ya hii penalty, watu wasiokuwa waadilifu bado wanafanya mauji. Nakushangaa sana unapong’ang’ana kwamba katiba nzuri pekee yake inatosha kumdhibiti president asiyekuwa muadilifu. That’s very naive, dude!
 
Kwanza, sijasema Katiba ni Panacea, ninachosema katiba inatengeneza strong institutions na kuwa guardrails . Hiyo haina maana zinazuia kila kitu bali zinapunguza uharibifu, zinazuia ikibidi.

Miaka 10 iliyopita Japan imekuwa na PM zaidi ya 5. Nchi ni imara kutokana na institutions imara

Pili, adhabu ya kifo na madaraka ya Rais huwezi kuviweka katika mizani, ni vitu tofauti
Ni kama kufananisha Chunga na Nanasi kwasababu yote ni matunda

Tatu, hii katiba ya 1977 iliyoandikwa na akina Thabiti Kombo, Msekwa , Banduka n.k. ilikidhi haja ya mfumo wa chama kimoja na siasa za Ujamaa
Leo hatupo huko na mabadiliko ya kasi duniani yanalzimishwa tuangalie mwongozo wetu

Kesi ya Mbowe imefungua sana macho ya Watanzania. Nani alizijua Mahakama zetu kama leo!
 
Jamani mwenye link ya yaliyojili jana kwenye hii kesi tafadhali ashee na mimi hapa! Natanguliza shukrani!
 

Hivi una unajua kwamba less developed countries are more similar than dissimilar? Unadhani wote shida yao ni outdated constitutions? Our problem is greater than this.

Institutions muhimu tulizonazo zimeanzishwa kikatiba na operations zake zinakuwa governed na Sheria za Bunge. Hizo institutions zinayumba sio kwasababu Katiba yetu ni outdated, bali ni kwasababu ya interferences zinazofanywa na rogue presidents. Akitokea law-abiding president utashangaa mwenyewe kuona Bunge, Judiciary, NAO, DPP Office zimekuwa na nguvu ghafla!

Kama katiba ingekuwa ndiyo solution ya tatizo la Africa na kwingine kwenye shida kama yetu, I am sure a lot of countries would be willing to invest heavily in a new-constitution writing project. We’re by no means the smartest people in Africa. Zipo nchi nyingine zilizoandika katiba zao upya, lakini their rogue leaders continue to be unruly!
 
Kwani pale Mahakaman wanasikiliza hoja za upande mmoja?wale wenzako wako huru na wanaupeo mzee!Ata huyo Jaji angekuwa huru angekuwa ashaitosa hii kesi
 
Nilichoandika mimi na ulichoandika wewe vina uhusiano gani, mzee mzima?
Ulisema rais anayechaguliwa moja kwa moja hafai kwa vile atakuwa powerful atamchagua huyu atagandamiza mihimili etc etc, au umesahau? Ndipo nikakupa mfano wa Kenya wao kazi ya CJ hutangazwa magazetini, nikakwambia madhara yake. Kama hukuwa na maana hiyo nisaheme.
 

Apparently, hukuelewa context ya jibu langu kwa yule niliyekuwa namjibu!
 
Kwan hii kesi imesimama ama vipi wadau?
Hata ile ya jana, nimetafuta sana linki yake lakini sijaipata. Leo sijui kama ipo au haipo! Nilidhani nipo peke yangu ambaye tangu tarehe 14 sijui ynayoendelea
 
Apparently, hukuelewa context ya jibu langu kwa yule niliyekuwa namjibu!
Context ni neno la kizungu inawezekana linakuchanganya - au mimi linanichanganya - hutumika tu kama kuna wasiwasi na maneno ya mdomoni. Ulisema rais wa kupigiwa moja kwa moja ni too powerful atawainfluence miamala mingine, hii inaeleweja haina utete, why lok forvcontext? Ndipo nikakupa mfano wa Kenya CJ hateuliwi na rais. Kama bado una imani na context naomba unisaheme.
 
Unajua tunaweza kuongea kwa ushabiki na hisia tu! Ila watu wakumbuke Mbowe anamakandokando pia ya kuhusika na kifo cha Chacha Wangwe! Usimwamini mwanadamu huwezi kujua alivyo ndani yake! Mahakama waiache iwe huru kama kwa Sabaya!
Kama alimuua Wangwe kwa nini serikali ilisema Wangwe alikufa kwenye ajali ya gari na wakaishia kujifanya kumfunga Mallya.

Wewe unafikiri hatujui walivyomuua Wangwe au unataka tuseme humu. Saanane na Azory wao nani aliyewauwa na mbona hawakamatwi.

Serikali ikijaa dhuluma lazima tu itabaki omba omba hata nchi iwe na rasilimali nyingi kiasi gani ni kazi bure tu maanake ni laana tupu.
 
Wakuu kesi imeisha au inaendelea?? Mwenye updates, maana Toka imeahirishwa juzi kwa Shahid kuwa mgonjwa sijaisikia, mwenye taarifa plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…