Mahakama yatupilia mbali ombi la Jacquiline Ntuyabaliwe (Mjane wa Reginald Mengi) kuutambua wosia alionao

Mahakama yatupilia mbali ombi la Jacquiline Ntuyabaliwe (Mjane wa Reginald Mengi) kuutambua wosia alionao

Surely kuna wanawake wajinga Sana,
Hv kweli K Lyn, kwa muda alioishi, na Mengi, alishindwa hata kuweka akiba saccos, government bonds, au, kuwa na hata apartemwnts zinazoingiza hata 20M kwa, mwezi!
Mali, nyingi umezikuta, kweli unataka ugawane pasu pasu na watoto wa Mengi!?
Kuwa na aibu Please.
Alikuwa anakazana na malikizo mara Dubai, Maldives. Angekaa vizuri na mzee angetoboa mapema asubuhi. Tatizo wanaomzunguka maana ukiangalia na aina ya wosia na siku za mwisho za mzee. Ashakum sio matusi unaweza kusema alimmaliza mzee wa watu
 
Swali Moja Kwa watoto wakubwa wa Mengi je wale madogo mapacha ni wadogo zao? Maana watu tusirukie kuangalia tu Jackuiline hiki au kile. Wamechukua kila kitu sawa ila je wale madogo ni ndugu zao? Kama ni Damu ya baba yao Kuna siku itawatafuna lakini kama sio then waendeelee.
Mengi alikuwa anamiliki 25% ya mali zake maana alishagawana kila kitu pamoja na mkewe na watoto wake wawili wakubwa. Mkewe alivyotangulia kufariki akwaachia watoto 25% yao. Kwa hio hapo ili haki itendeke Jack adai 12.5 % ya hisa za marehemu na 12.5% iliyobaki wapewe watoto wakubwa. Maana hao wakubwa wana haki pia ya kuridhi mali za baba yao.
 
They were given 1/3 of the estate. Wengi wanamchukia Jack ila nawashangaa wanaume wanaowasapoti. Mara nyingi tukishafika uzeeni watoto huwa Wana chukua upande wa mama zao. Mlitaka yule Mzee ajifie mwenyewe aisee. Halafu Mercy alifika sehemu akasameheana na Mume wake. Alikubali ndoa imeisha. Na msio jua Mercy alitokea ukoo wa mangi. Means alikua tajiri toka wanaona. Je unayakua majivuno ya wanawake wenye fedha na kwao wanajiweza? Kama ujui oa huko ndo utakuja kuhadhithia. Nina ndugu wamerudi nyumbani kisa tu Wana uwezo wa kujihudumia na home kwao zipo. Wametalikiana na wame zao kisa hawawezi nyenyekea.
Jack was a legal wife to that Mzee and she has a right under the marriage act to inherit some of the estate especial their matrimonial house, and the kids have a share of their father estate. Wanawake wengi hapa wanashabikia kisa wivu tu. Angechaguliwa yeyete kati yao na mengi wala wasingekataa. Hawa watu wangerudi home wakakaa. Watoto wakubwa wakubali baba yao alifika sehemu akapenda na kumuona Jack, pia akazaa nae watoto wawili ambao ni ndugu zao. Mtihani bado hawamkubali Jack kama mama mdogo na ndo shida. Wakati mwingine while fighting mali zinateketea maana zinakua hazina usimamizi mzuri. By the time wanamaliza ugomvi no ITV, Bonite au whitedent. Then mnavuna Nini?
Mirathi aliyoisimamia Jack ilikua inasimamia hizo 1/3?
 
Mengi alikuwa anamiliki 25% ya mali zake maana alishagawana kila kitu pamoja na mkewe na watoto wake wawili wakubwa. Mkewe alivyotangulia kufariki akwaachia watoto 25% yao. Kwa hio hapo ili haki itendeke Jack adai 12.5 % ya hisa za marehemu na 12.5% iliyobaki wapewe watoto wakubwa. Maana hao wakubwa wana haki pia ya kuridhi mali za baba yao.
Jack apewe hiyo 12.5% lakini watoto wanne wagawane hiyo other 12.5% sawa. Na pia wakati anagawa mali 2015 kwenye kesi na Mercy aliwapa watoto wakubwa. Just nahisi greed is what is driving this case. Abdiel And her sister were given a fair share by their father when he separated from their mother. As for the matrimonial houses ya kinondoni ni halali ya mke. Ya Machame wanaweza kuamua ni nyumba ya familia. Mwezi wa kumi na mbili wote tunajumuika hapo kusheherekea sikukuu. Wanamnyima hadi kuona kaburi la Mume wake na watu wanaona ni sawa kisa wanahisi ni gold digger. Kuna mwanamke hapa angeipata hiyo nafasi angekataa? Au mwanaume angejikuta amependwa na mtu kama Lilian Bettencourt kipindi kile angekataa. Tuwe katika uhalisia. Jackuiline aliokota dodo lililoiva akala. Simlaumu. Also those two kids ni wa yule Mzee so atleast hata hajaiba nje. Mercy na mengi wanajua walivyofanyana mpaka wakaachana. Watoto hata muwe bitter kiasi gani bado Mzee wao alioa kigoli na kuzaa nae ndugu zake.
Mzee wangu yupo kwenye ndoa na Maza ila za chini chini dada zangu wananiambia oh Mzee ana kamchepuko so usimtumie Hela. Niliwauliza tu je ili niingilie kati najuaje kama Maza alimnyima Mzee? Ni vitu ambavyo havinihusu kabisa. Aamue mwenyewe maana unaweza mwuliza akakuuliza je wewe utafanya kazi ambayo mama yako ameshindwa? Wengi wana mjugde Mengi Kwa kumchukia Jackuiline. She played her party wamuache aisee.
Utakuta wanao mjudge jack wana michepuko lukuki, na wanawake wengine na kuzaa nje wamezaa kabisa yani lakini midogo tu kisa mwenzao kapata wanataka awe masikini kama wao.
 
Alikuwa anakazana na malikizo mara Dubai, Maldives. Angekaa vizuri na mzee angetoboa mapema asubuhi. Tatito wanaomzunguka maana ukiangalia na aina ya wosia na siku za mwisho za mzee. Ashakum sio matusi unaweza kusema alimmaliza mzee wa watu
Anapenda maisha ya high class
Afanye kazi mzee alimuanzishia mradi wa kuuza furniture's akashindwa

Ova
 
Yah
Mirathi aliyoisimamia Jack ilikua inasimamia hizo 1/3?
Tayari Kuna mgawanyo ulifanyika 2015 wakati wa kuvunjwa Kwa ndoa ya kwanza. Ni mgawanyo uliofanyika mahakamani so hauwezi kupingwa tena. Alichosalia nacho Mzee ndo alimpa Jack na watoto wake wawili pamoja na shares kwenye mafuta. Hivyo ni vitu new Mzee aliwekeza baada ya kuvunja ndoa na Mercy. Pia nyumba ya Machame ambayo haiwezi kwenda Kwa mke Kwa Mila za kichaga. Inabaki kwa mtoto wa kiume Mzee atakayemchagua. Na Kwa kumuachia mke mdogo maana yake alimchagua mke mdogo. Pia Kuna saa zake za thamani na vidani vingine. Ndivyo kina abdiel anavitaka vyote.
Mzee aliwapa mpaka ndugu zake hao kina Benjamin. Pia waliocontest will walisema Mzee hakua kwenye right state of mind wakati anaiandika je, mtu huyo ndiye aliyeiendesha IPP mpaka anakufa bila kuondolewa madarakani na directors? Huyo huyo ndo aliandika kitabu na kuzindua 2018 na kukaa meza Moja na maraisi. How hao watoto wasipetition mahakama kupewa haki ya kumsimamia baba yao maana wanaona Hali yake ya kiafya sio nzuri na mama mdogo ana mexploit? They had room to wrestle control of their father away from Jackuiline if they could prove she was exploiting his feeble state of mind. All this raise a question on them attacking the wellness of state of mind of that brilliant man.
It also raise a question of how for three years the board of directors could let a person who is not of sound mind call the shorts in meeting. He was the executive chairman to his death.
 
Mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu Reginald Mengi, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ameangukia pua baada ya mahakama kutupilia mbali rufaa yake.

Ntuyabaliwe aliitaka mahakama iutambue waraka wa wosia wa marehemu Mengi ambao ulikataliwa na mahakama kuu.

USSR
---
Mahakama ya Rufani imetupilia mbali shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa na mjane wa Reginald Mengi, Jacquiline Ntuyabaliwe na wanawe wawili, ambao wamekuwa wakipambana kutetea wosia unaodaiwa kuandikwa na Mengi ambao Mahakama Kuu iliubatilisha.

Katika shauri hilo, Jacquiline na wanawe anaowasimamia, Jayden Kihoza Mengi na Ryan Saashisha Mengi walikuwa wanaiomba mahakama irejee na hatimaye itengue uamuzi uliotupilia mbali shauri la maombi ya mapitio, walilolifungua awali mahakamani hapo wakipinga hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoukataa wosia huo.

Hata hivyo, katika shauri hilo la maombi ya marejeo namba 748/01 la mwaka 2022, mahakama hiyo katika uamuzi imewakatalia maombi ya kuurejea uamuzi huo ikisema sababu zilizotolewa hazina mashiko.

Katika uamuzi huo uliotolewa na jopo la majaji watatu waliosikiliza shauri hilo, Rehema Mkuye (kiongozi wa jopo), Abraham Mwampashi na Zainabu Muruke, mahakama imesema sababu walizozitoa si miongoni mwa zile za kuomba mahakama kufanya marejeo ya hukumu yake, bali zinahusu rufaa.

Uamuzi huo ulioandikwa na Jaji Muruke kwa niaba ya jopo hilo, ulitolewa Agosti 5, 2024 na unapatikana katika tovuti ya Mahakama iitwayo Tanzlii.

PIA SOMA
- Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia
Kuna yule mdada mwingine mjinga mjinga alikuwa na kipindi kwenye TV cha wanawake na Maendeleo au sijui Jukwaa la Wanawake? Anajazaga wenzake ujinga sana sijui haijafika hii aende akampambanie mahakamani?
 
Ni asilimia, Mzee alishagawa wakati anaachana na mkewe mkubwa. Pia hao watoto wakubwa na wenyewe waliopewa asilimia zao.
Basi atakuwa na tamaa za kijinga. Anataka apate mgawo mkubwa kuzidi watoto wakubwa wa Mengi? Dada mpuuzi huyu! Hapo mahakama kuu na ya Rufaa zimecheza kama Messi.
 
Ndugu wamemstahi sana Jacq, yani kwa heka heka za kifo cha Mengi, zilitumika busara sana, maana by then ilionekana kifo kilikuwa cha mchongo, Jacq alikuwa hotel moja hawala wake ambae inasemekana anaweza kuwa amehusika kwenye kifo cha Mengi na huo wosia feki.

Safari ya Dubai yenyewe ilikuwa forced kumbe mzee wa watu anaenda kufia huko kifo chenye utata. Isingekuwa serikali kuingilia kati hata msibani asingekanyaga.
Mwengu kauawa na Corona,,ni bahati mbaya huo ugonjwa unamchukua ulikuwa haujajulikana Duniani lakini ulikuwa una sambaa na kuua watu kupitia magonjwa yao sugu bila kujijua
 
Wote mnao muatack jack fikirieni na upande wa pili, alijitoa ujana wake kwenda kukilea kibabu, ambapo kwa cv yake angeweza ku date na vijana wenzake na kula maisha.
Wakulaumiwa ni babu machche mwenyewe kudandia vidada badala ya kutulia na kibibi chake.
Msimulaumu mengi,msidhani hadi mzee anacahana na bi mkubwa ni kwakuoenda.Humu kwenye Doa kunamashetani mengi kweli ,,ndo ni mkaa ndo maana wanaume inabidi uende nje kupata amani ya Roho
 
Haujafuatilia kesi, kilichofanya wosia alio nao Jacky uwe batili ni kukinzana kwa Taaarifa. Wosia unasema makampuni yote ya IPP na Kiwanda cha Bonite apewe Jacky. Lakini Mengi alipoachana na mkewe waligawana kila kitu pamoja na watoto wao wawili. Na mkewe alipotangulia kufariki aliwaaachia mgao wake watoto wake. Madai ya kuwa Mengi ameandaa wosia na kumpa Jacky asilimia 100 ni uongo . Maana yeye mwenyewe anajua anamiliki kiasi gani cha makampuni yake. Hii ndio ilifanya mahakama wajue ukweli kuwa ule wosia haukuandaliwa na marehemu. Jacky kama angetaka kufanikisha hii ishu angekuwa na taarifa sahihi. Kukosa kwake kwa taarifa ndio kumefanya afanye blunder. Waliomshauri wanafeli kwa sababu Mengi alikuwa na hela. Kipindi yupo hai angeomba mtaji wa kufanya biashara ya maana. Kuna wimbi la vimada na watoto wa matajiri wanafanya biashara za kuzugia. Mtu anafungua biashara ili apate sababu ya kuomba hela kwa mume, ndugu au wazazi wenye hela. Haiwezekani ufungue biashara ya kuuza furniture wakati kuna furniture kibao nzuri zinatoka India na china. Mwanamke pekee aliyefaidi matunda ya ushauri mzuri kutoka kwa Mengi ni Rita Paulsen na Jokate.
Unataka kusema Mengi aliruka mpaka na Jokate?
 
Mengi alikuwa anamiliki 25% ya mali zake maana alishagawana kila kitu pamoja na mkewe na watoto wake wawili wakubwa. Mkewe alivyotangulia kufariki akwaachia watoto 25% yao. Kwa hio hapo ili haki itendeke Jack adai 12.5 % ya hisa za marehemu na 12.5% iliyobaki wapewe watoto wakubwa. Maana hao wakubwa wana haki pia ya kuridhi mali za baba yao.
Halafu nimeurudia tena wasio uliokataliwa. Kama mahakama imeuona ni feki maana yake Kuna perjury ilifanyika. Perjury ni criminal offence with no expire date. Kwa Nini mahakama haikutefer kesi Kwa dpp ili achunguze madai hayo ya perjury?
 
Back
Top Bottom