DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pia inashangaza inakuwaje anakop pesa zote hizo? Basi collateral ni mali za mumewe au akafoji kwa mali za mume.
Yaani anakopa pesa nyingi hivyo kwa kutumia collateral za kampuni na still zikiingia anahamishia akaunti yake binafsi anazila

Sio kukopa walao afanyie biashara za kampuni ya Delina,NO!

Dada ana moyo wa serious JAMBAZI kabisa

Mimi binafsi mwanaume na bandidu ila siwezi fanya hivyo kabisa
 
Unaamini vipi kama alichosema ni kweli.

Mosha ni katili. Ametunga uongo mwingi na kwasababu anapesa mnaamini kila anachosema.

Na kama kweli mke ameiba mimi nampongeza maana amemnyanyasa sana dada wa watu.
Umesoma hukumu?

Mwanamke amekili hayo makosa mbele ya vyombo vya sheria unataka tuamini hisia za mleta mada na zako?
Kama ametunga uongo mwanamke apeleke ushahidi wa ukweli halisi atapata haki yake siyo kuja kulia mitandaoni kutafuta huruma au kuchafuana.
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Alikuwa mke na mfanyakazi sasa amemwibia boss wake ambae pia ni mumewe, kilichoendelea baada ya wizi hadi ndoa kuvunjika ndo hakijawekwa wazi
 
Huyo dada kakopa millioni 500,000,000 benki na bado akahamisha dollar 1.4 millioni kutoka akaunti ya kampuni. Bila kusahau wakati anaondoka nyumbani alipotea na dollar 750,000,000. Mbona pesa nyingi hivyo?. Ingekuwa mwingine angeondoka kimya kimya.
Mitimingi limemfaudu sana huyu dada!
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Safi sana.

Kinachowaponza wanawake wengi ni tamaa.
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Wewe ni mkewe D Mosha?
Karibu jukwaani
 
Yule Mchezaji wa Mpira anaitwa nani vile?
Nani.
images.jpeg
 
Ndoa zina mengi sana. Imagine mkeo ana kiserengeti boy kinamgeuza. Utaweza vumilia kweli ?

Mandela alieweza wasamehe makaburu waliomfunga jela miaka 40. Ila alishindwa msamehe mke wake winnie mandela
Hahaaaaa hata kwenye Biblia imeandikwa, tutawasamehe wake zetu na ndoa kutovunjika ILa kwa uzinzi tu. Kama ukimfumania, Mungu karuhusu on the spot kuachana naye.
 
Jeff benzon , Bill Gate, aliko dangote, Sir isack Newton, Yesu, Elon mask wote hao wamekaa mbali kabisa na mambo ya ndoa.

Ila wewe jumanne mwakitobe wa huko Namtumbo , unaeshindia mihogo na kachumbari , unakaza fuvu na kufunga ndoa[emoji12]
Hahaaaaa, acha kututisha wewe japo nimecheka sana hilo Jina la Jumanne Mwakitobe. Sisi wanyaki hakuna mtu anayeitwa Jumanne Mwakitobe.
 
mnakurupuka kuchangia bila kusoma hiyo hukumu between the lines, kwanza demu ndio aliandika kuwa anataka kusepa na kwamba amechoka, pili kwakuwa alikuwa analiwa na mganga wa kienyeji akaona huyo ndio wa maana zaidi kuliko mumewe baada ya kuona kachemka akataka kurudisha majeshi kumbe too late, kimsingi hizi ndoa za wenye hela kuna matatizo makubwa sana, na kwakweli sijui wanawake huwa wanatakaga nini mpaka sasa sijawaelewa kabisaaaa.
 
mnakurupuka kuchangia bila kusoma hiyo hukumu between the lines, kwanza demu ndio aliandika kuwa anataka kusepa na kwamba amechoka, pili kwakuwa alikuwa analiwa na mganga wa kienyeji akaona huyo ndio wa maana zaidi kuliko mumewe baada ya kuona kachemka akataka kurudisha majeshi kumbe too late, kimsingi hizi ndoa za wenye hela kuna matatizo makubwa sana, na kwakweli sijui wanawake huwa wanatakaga nini mpaka sasa sijawaelewa kabisaaaa.

Waganga wa kienyeji huwa wanajua sana kucheza na saikolojia za wanawake.

Mganga kamdanganya kama anamsaidia matatizo yake.. then akaanza kumtiaaaa. Mwanamke anaiba hela anampa mganga
 
Back
Top Bottom